Ndugu wanajamvi naomba Nianze kwa kuwasalimia HABARI ZA MAJUKUMU. Natumai muwazima Afya.
Nimekuja kwenu kuwataka Msaada wa mawazo, elimu ikiwezekana pia hata mfadhiri.
Naitwa Francis Jackson Nkerame napatikana Nyakitonto Kasulu Kigoma Tanzania.Nilihitimu elimu yangu ya kidato cha nne...
Ndugu wanajamvi naomba Nianze kwa kuwasalimia HABARI ZA MAJUKUMU. Natumai muwazima Afya.
Nimekuja kwenu kuwataka Msaada wa mawazo, elimu ikiwezekana pia hata mfadhiri.
Naitwa Francis Jackson Nkerame napatikana Nyakitonto Kasulu Kigoma Tanzania.Nilihitimu elimu yangu ya kidato cha nne...
Ndugu wanajamvi naomba Nianze kwa kuwasalimia HABARI ZA MAJUKUMU. Natumai muwazima Afya.
Nimekuja kwenu kuwataka Msaada wa mawazo, elimu ikiwezekana pia hata mfadhiri.
Naitwa Francis Jackson Nkerame napatikana Nyakitonto Kasulu Kigoma Tanzania.Nilihitimu elimu yangu ya kidato cha nne...
Umewaza na umejadili kwa mantiki sasa naomba nijibu hoja yako.
Kwanza naomba niseme kuwa kila upande ktk cuf inamakosa
Nianze kuonesha makosa ya Pro Lipumba
1)Kuachia nyazifa zake na akatimukia mbali kwa kile yeye alichokiita kuwa ni kuisaliti nafsi iliyoamuni kuwa Lowassa ni fisadi...
Umenena vema
Maana Tz hii Hamna dictator kama DJ Mbowe.
Hamna mwenye Uwezo wa kumkosoa au kuhitaji kiti chake akabaki salama.
Mpaka Ktb ya cdm ameshaibadili ili kujipa nafasi yeye kuendelea kuwa m/kiti wa cdm
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi hivo hivo upate maudhui ya andiko langu.
Maana cha muhimu ni maudhui na sio mwandiko.
Mimi ni la pili D hivo sijajua kuandika vzr japo masuala nayajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipumba ameshinda kesi ya akina Maalm kibatara na Lissu..
Kwa maneno halisi AMEUBWAGA UKAWA...
Nachekaaaa....hata kama Kipumba wanamwita manina yootee....mimi nilishaa sema toka mda ule kua UKAWA hawana uwezo wa kushinda kesi hii...Na sasa lipumba anatoka na nguvu mpyaa. Anaanzakuchukua Ruzuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.