Meja General Muhidini KimarioWatanzania watamkumbuka kwa uzalendo wake kwa matukio machache niyakumbukayo
Wakati wa vita vya Kagera mwaka 1978 - 1979. Marehemu alitumwa na Mwalimu Nyerere akiwa kama waziri kuja kuwaaga wapiganaji waliokuwa wanaenda mstari wa mbele vitani.
Akiwa katika uwanja wa...
Tanzia: Dr. William Shija, Waziri wa zamani wa Tanzania na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wabunge wa Jumuiya ya Madola amefariki dunia Leo London.
Pia ndite aliyekuwa mbunge wa Sengerema kabla ya William Ngereja.
RIP
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.