Kwa mtazamo wangu, Serikali ilichofanya ni sahihi na ndio kinachotakiwa kufanyika. Huu ni mwanzo nzuri wa Serikali kutambua mambo 3 haitakiwi kuyabinafsisha. La kwanza, huduma za Afya. La pili, elimu. Tatu, maji.
Hizo huduma 3 iziwekee mkazo wa kutosha na kuhakikisha mazingira yanaandaliwa...
Tukija kuwasimulia wajukuu zetu kwamba ndani ya miaka 6 ,mwamba alianzisha mikubwa vile Tena Kwa pesa za ndani watahisi tunawafunga kamba. Apumzike Kwa amani
CHADEMA mna dhambi isiyosameheka kweli kabisa mnawatendesha dhambi watoto wasio na hatia kwa kuwaandamanisha? Kweli migomo/maandamano na CHADEMA ni Kama uji na mgonjwa
Unazinduliwa kabla ya kuanza ku
Unazinduliwa kabla ya kukamilika au baada ya kukamilika kwa mradi? Kama ni kabla ya kukamilika kwa mradi usiwe mwepesi wa kusahau miradi mingi tunaona akishuhudia utiaji wa saini lakini kama ni baada ya kukamilika tuache unafiki mradi upi mkubwa unakamilika kwa...
Ninachojiuliza mpaka sasa aliwezaje kufanya yote kwa kipindi kifupi hivi? Nilienda handeni kipindi fulani mwamba aliibadili mpaka nikawaza inaweza kuwa jiji siku moja. Aliwezaje?
Mwamba Magufuli bado anaishi hakika, katuachia ikulu, makao makuu na mji wa kisasa kabisa Afrika mashariki na Kati wa Magufuli city. Dodoma kweli panapendeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.