Recent content by FPT

  1. F

    Kuhamishwa kwa Wamisai Ngorongoro, tumechelewa lakini tumpongeze Rais Samia. Tujifunze Canada na tusahihishe

    Hongera Serikali ya Samia kwa kutazama kwa undani suala la Ngorongoro. Nafurahi hili kama limetazamwa
  2. F

    Brenda Rupia: CHADEMA hatuitambui Tume. Haiwezekani Mwenyekiti wa CCM awe kiongozi alafu aliowachagua watoe msimamo tofauti na alioutarajia

    Ingekuwa tume imeundwa na Lissu angesema anaikataa angeeleweka ila tume ni Rais ambaye ni kiongozi wa nchi nzima
  3. F

    Trump aacha wosia endapo atauliwa na Iran

    Siku ambayo Irani itathubutu kumuua Trump ndio siku ambayo Dunia itaandika historia ya nzito dhidi ya Irani , nasisitiza ndio siku ambayo hatasalia muiranj hata mmoja kwenye USO wa Dunia.
  4. F

    Wizara ya Vijana imeundwa kimakosa na woga tu

    Hujaelewa kusudi, nia na lengo la kuundwa wizara hiyo naomba nikueleweshe Wizara hiyo imeanzishwa kuwa sauti ya vijana ambao ni wasomi au ni nguvukazi na haijaweza kutumika katika ujenzi wa Taifa. Lengo la wizara hiyo sio kuingilia wizara nyingine bali kutambua fursa na kuzitumia kwa maslahi...
  5. F

    Dr Hussein Bashe MP (PhD) Waziri Mkuu ajae

    Kama ingekuwa inawezekana mmoja wapo wa hawa angekuwa waziri mkuu Taifa lingeenda mbali sana 1. Prof.Kabudi 2.Dkt.Bashiru Kwa Prof. kabudi inawezekana ila kwa Dkt.Bashiru haiwezekani kwa sasa bila mabadiliko ya katiba kutokana na aina ya ubunge alionao
  6. F

    Ccm ya Samia na wasira imeshindwa kutuma MWAKILISHI kwenye msiba wa Gavana wa kwanza, kisa alihasisi chadema? Shame on you.

    WM anayetokana na CCM ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM na mjumbe yoyote wa kamati kuu ni kiongozi wa juu kwenye Chama. Chukua hilo
  7. F

    CHADEMA yafuta uteuzi viongozi kamati za Kanda ya Nyasa

    Ajabu ni kwamba Mwenyekiti na katibu wa Kanda wamekalia bado Viti vyao
  8. F

    Leo ni siku ya Uhuru wa Tanzania (iliyokuwa Tanganyika zamani)

    Tanzania ni nchi mojawapo katika Muungano. Jina la muungano ni JMT
  9. F

    Kwanini Tanganyika ilikufa na Zanzibar ikabaki?

    Hapo ndio watanzania watambue Mwl.Nyerere ni akili kubwa sana. Kwa muundo wa jiji la Dar kabla ya kuvunjwa na Rais Magufuli, jiji halikuwa na eneo la kiutawala kitu ambacho kilipelekea malalamiko mengi ya gharama yaliyopelekea kuvunjwa kwa muundo huo Ila hiki mwalimu alikiona miaka mingi...
  10. F

    Leo ni siku ya Uhuru wa Tanzania (iliyokuwa Tanganyika zamani)

    Hiyo moja inayosheherekea mapinduzi matukufu ni halali kwa sababu hiyo Zanzibar ipo Ila ingekuwa haipo Kama Tanganyika wasingesheherekea kitu ambacho hakipo. Katika masuala yasiyohusu Muungano, ni nchi gani zinazojitegemea? Sidhani Kama utasema ni Tanganyika na Zanzibar
  11. F

    Leo ni siku ya Uhuru wa Tanzania (iliyokuwa Tanganyika zamani)

    Hilo jina la muungano haiitwi Tanzania Bali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini Tanzania inabaki nchi.
  12. F

    Leo ni siku ya Uhuru wa Tanzania (iliyokuwa Tanganyika zamani)

    Kama ulizaliwa ukaitwa Juma baadae katika kukua kwako ukabadili jina na kuitwa Hassan, utakapokuwa unasheherekea siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako itakuwa siku ya kuzaliwa Juma au Hassan? Hakuna Cha upotoshaji wala Nini Ila ndio ukweli ,siku ya Uhuru tutasheherekea Uhuru wa nchi ambayo ipo...
  13. F

    Je, nafasi ya Suzan Kaganda kuchukuliwa na Deborah Magiligimba? Inawezekana IGP ajaye akawa ni Dkt. Magiligimba

    Baada ya CP Suzan Kaganda kuteuliwa kuwa balozi Sasa naona nafasi yake Kama kamishna wa fedha na mipango inaenda kuchukuliwa na mjumbe wa kamati ya fedha ya shirikisho la Polisi wanawake duniani-IAWP SACP Dkt.Deborah Magiligimba. Baada ya CP , Je ndio atakuwa IGP ajaye?
  14. F

    Leo ni siku ya Uhuru wa Tanzania (iliyokuwa Tanganyika zamani)

    Nimeona mjadala mahali watu wakibishana kuwa leo ni Uhuru wa Tanzania au Tanganyika, nami nimeona kwa manufaa ya wengi nishiriki mjadala huu kwa kutoa mchango wangu wa mawazo. Siku ya Uhuru Ina maana iliyo sawa na siku ya kuzaliwa kwa mtu. Kama mtu alizaliwa akawa anaitwa Juma...
Back
Top Bottom