chanel ten mmefirisika mawazo ya kumchukua mr taratibu kila mara. mko na upendeleo sana hamna jipya ndo maana watu sasa hivi wamepungua kuangalia vipindi vyenu.
Mimi ni mwalimu nafanya kazi katika jiji la Mwanza natafuta mchumba ambae yuko tayari kuolewa sasa mimi ni mkristo. awe na umri kuanzia miaka 22 mpka 30. awe na kz au hana haina shida. akitoka ktk makanisa ya kipentekost ni sifa ya ziada mimi nasali ktk kanisa la KKKT. piga 0659336264
Mimi ni ni mwalimu nimeajiliwa serikalini ninafundisha sekondari. najitokeza katika jukwaa hili kutafuta mwanamke mcha MUNGU. mwenye umri kuanzia miaka 24-30.
Kama upo nipigie kwa 0659336264 kumbuka kupima ni mhimu,niko serious.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.