Natafuta mume umri kuanzia miaka 35 - 45

Natafuta mume umri kuanzia miaka 35 - 45

Hongera dada yangu kwa hekima na busara uliyoionesha, nimepata picha ya aina ya mwanamke ambaye mwanaume ni vigumu kujuta akiwa nae.

Maana pamoja na baadhi ya michango kuwa na maneno ya kumkera mtu, bado dada mleta uzi ameyajibu kwa busara sana
 
Rudi kwa baba mwenye mtoto nadhani hutojuta`maisha haya kulea toto la mtu“labda father wake awe amefutika kwenye orodha ya watu duniani”lakini kama anadunda tu go back to him•

Pengine alizaa na mume wa mtu huyo. Uschana wote keshamaliza leo hii ataka wa kumaliza naye uzee
 
Asanteni wote kwa ushauri mlionipa nitaufanyia kazi. Suala la mtoto wala lisikupe tabu sababu uwezo wa kumsomesha ninao.

Uwezo mlionao wanawake wa sasa na ajira ndo vinawatia kiburi mnashindwa kuishi na waume zenu. Kama kuna makosa ya namna hiyo uliyafanya, jirekebishe utapata mume wa kuishi naye. Ikiwa hutojirekebisha, hakuna mwanamme atakaa na wewe
 
Waungwana maswali mengine ni kistaarabu tu una m PM unamuuliza ujana amekula na nani na uzee aje kuomba msaada mwisho watu wataogopa kuvunja ukimya humu! mara ooh baba wa mtoto yupo wapi jamaniii!
 
Hongera dada yangu kwa hekima na busara uliyoionesha, nimepata picha ya aina ya mwanamke ambaye mwanaume ni vigumu kujuta akiwa nae.

Maana pamoja na baadhi ya michango kuwa na maneno ya kumkera mtu, bado dada mleta uzi ameyajibu kwa busara sana

Watu wanaigiza sana hapa Jf.usikute anatukana moyoni
 
Nimefatilia sana michango ya wadau na nikackia Majibu yako yanaonesha moyo wako ni mzuri na wakujenga familia. Ni Pm
 
Picha please!!!! Tena yenye nguo chache sana, mnafichaga makovu nyie!!
 
Kila la Kheri; usivunje moyo na majibu ya JF. Kuna mabazazi wengine humu walikimbia "ujauzito" sasa wakiona matangazo kama haya nao wanatamani kurusha ndoano lakini wanahofu isijekuwa ni "Ex" wao teh. Wanaishia kutoa maneno ya kukwaza tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom