Wengine wamebeba dhana ya elimu bure kama kapu kubwa lisilo na kitu. Mfano serikali imesema itatoa elimu bure lakini mwanao anaenda shuleni hakuna mwalimu wa biology au kuna upungufu wa madawati kwa hiyo utasubili hadi serikali itakapotekeleza au utafanya unaloweza unapoendelea kusubili
Nchi ya kufikirika hayo yanawezekana lakini haiwezi kuwa hivyo siamini kama tamko hilo linaweza kutoka kwa kaka mkuu wangu. Hivyo vifungu vya sheria watakopa nchi gani au itakuwa kwa hisani ya watu wa merikani
Mwambie rafiki yako asishughulike na tatizo ashughulike na chanzo cha tatizo, ndoa zina mambo mengi na kama kweli anataka ushauri ili ndoa yake ipone apambane na chanzo na naamini hicho chanzo yeye anakifahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.