Mheshimiwa Ze NDINDINDI
Ni kweli Queen ni head of State wa Canada,lakini Trudeau sio kama Majaliwa...Trudea ni kiongozi wa shughuli zote za serikali ya Canada ie ni mkuu wa jeshi,anawajibika na mambo ya uhusiano wa kimataifa,anateua majaji wa mahakama kuu (supreme court of Ca),ni mkuu wa mambo...
Usedcountrynewpipo umesema Wachina wanatengeneza iphone sawa kabisa na zinazotengenezwa na Wamarekani Aaaah hii siyo kweli,ukweli ni kuwa Wachina wamekuwa wakitengeneza vitu vingi kwa kuiga hasa kutoka North Amerika,Europe na Japan Iphone wanazotengeneza zinafanana sana na iphone zinazotengezwa...
Chief Mkwawa wewe ni moja ya Watz ambao mchango wenu unatakiwa sana kwa jamii ya Wabongo Umetoa mchango wa elimu yako pasi kuleta mambo ya siasasiasa kwa kuegemea upande wowote ule Ulichoongelea ni kweli tupu,mimi natumia IPTV ,aina ya box ni ULTRA 4 QUAD CORE,operating system ni Android 4.4 na...
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana siasa za Tanzania hasa kwa awamu hii ya nne Nimegundua kuwa sehemu kubwa ya utapeli unaotokea ktk siasa za Bongo unaanzia Ikulu Mshahara wa kiongozi yoyote yule anayechaguliwa na watu au kuajiriwa na serikali sio siri Mshahara wa rais wa USA sio siri kwa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.