Recent content by Fotini

  1. Fotini

    Anataka kuja kwangu wakati sina hata godoro nalala chini, kwake nilikwenda nikakuta ana maisha mazuri

    Tumia akili! Hatuishi dunia ya romeo and Juliet mwambie hujajipanga so in brief huna ata getto wala sehem ikiwezekana sema uko kwene process kutoka kwa rafiki yako uishi mwenyew so huna pahala pako unapo ita makazi.. Tumia busara si hisia tumia akili sio kichwa .. Tengeneza mazingira kaishi...
  2. Fotini

    Katika utafutaji wa rizki kuwa makini na watu, rafiki yangu kafa kikatili sana

    Concept ya kifo huwa sijawai elewa kabisa kwa kweli ... ni dhahiri hatukupaswa kuogopa kufa.. ila ku ng'ang'ania kwenda uko ingali twajua uko kuna uzima wa milele na mateso hakuna .. kula kunywa ni bure .. sasa sielewagi why unauzunika badala ya kua na wivu kawai siti ila anyway "life is...
  3. Fotini

    Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa?

    d Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Fotini

    Maumivu ya aina 2 ambayo yanadumu milele

    kosa pesa .. shindwa badilisha mavazi na chakula mezani utaelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Fotini

    Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB

    Sawa braza ake feisal atakua amesoma na amekusikia .. ntamsisitiza nikimuona kua brother haujapenda mdg wenu alicho wafanyia Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Fotini

    Hivi baadhi ya wake za watu wana shida gani?

    Tunapoteza vijana wa hili taifa kwa kweli... hata ili nalo nilakupeana ushauri kweli. "serikali itenge bajeti kwa vijana" alaumiwe serikali tu hakuna namna. jiamini chakata mbususu iyo kwa level za kiintelijinsia ... kaplo sijui mabaka mabaka izo nguo tu" Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Fotini

    Bondia Hassan Mwakinyo anauharibu mchezo ngumi

    Watu bhn mnamakasiriko sana .. changamoto haswa ni nn mwakinyo kuhairisha pambano au wewe kuingia hasara ya 50k ... ili tujue tunaanzia wapi ili swala. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Fotini

    Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

    Anyway speaking from fact .. ulisikia wapi magaidi wana sema "praise the lord uku wakiwa na panga" au "Halllelujah" uku wana mtutu.. sina maana muslim ni ma gaidi hapana ... maana ata wa kristo wana vigund uko west africa .. ila wengi wapewe siku sikia "Allah Akhabar" kwa public afu kaa...
  9. Fotini

    Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

    Achana na hawa wote njoo naiyo pesa apa kitambaa cheupe niamini mm tukitoka tutakua na wazo. wazo unalo unahitaji ushauri tu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Fotini

    Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

    naunga mkono hoja Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Fotini

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Nyuzi hatari na zenye taarifa ogofya ambazo hukuwai pata popote pale isipo kua humu.. Hongera mkubwa .. yaani nasoma napotea nalejea najaribu elewa sielewi inaitaji ubongo wa kutafuniwa apa tushawakosa
  12. Fotini

    WanaJF tupeane mawazo kwa mtu anayetaka kufanya biashara Kariakoo kwa mtaji wa milioni 50

    mtoa mada anahitaji wazo la biashara gani afanye ... watu wanatoa ushauri ulio nje ya wazo its as if asha pata wazo la biashara tujitahidi kua specific with fact mhusika tayari ana exeperience unaanza mshauri biashara akili ... so do u think yeye hana akili na ka shasema katoka microfinance...
  13. Fotini

    Sababu kwanini wanawake wanaomba sana Pesa

    "Kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake" ukiona una lalamika jua kamba yako inakukaba sasa chagua ikuuuwe au uchoropoke ku okoa uhai
  14. Fotini

    Hivi nyie mnaobeza na kukandia 'watoto wa 2000s' mna hoja au ni wivu tu na maslahi binafsi?

    "Another 2000's Kid trying to demand his/her right" ni mfumo kama ilivyo siasa ni mfumo .. ko mfumo ni mfumo ambao ndani yake kuna mifumo ili uelewe mfumo inabidi uwe kwenye mfumo. utakuwa utaelewa tuna maanisha nn
Back
Top Bottom