Chief with all the due respect-
Unatafuta kifo cha mapema.
Achana nae mapema kabisa, gawaneni hayo madeni machache.
Hakuna mwanamke mwenye akili atakuvumilia na hii strategy na pia huna haja ya kuish kwa mashaka kwenye maisha mafupi namna hii
Akili ni zako , msiba ni WA familia
Wanaume wengi walipoteza pambano zamani sana-
1. Mlivyoanza kwenda na wake zenu kliniki mchezo ulianzia hapo-
2. Kiuchumi mwanaume mnachangia maendeleo ya famili na mwanamke
3.Mwanaume kwenda kulala ukweni-
4.Mwanaume kula nyumbani kila siku-
5.Mwanaume kulala nyumbani kila siku-
6.Mwanaume...
Hizi ni Propaganda tu, Miaka ya 80-90
India walizaliana sana na Sasa ni nchi ya nne kwa Utajiri duniani(GDP) baada ya China, US na Germany..
Best human resources in the world are coming from China, India, US etc..
Ukiacha nchi zote zilizowatawala wengine na kuiba rasilimali..
Nchi zenye...
Pengine labda bado mdogo-
Sisi tushadhulumiwa vya kutosha na tunadunda- we leave it to God..
Na tukarudishiwa mara dufu..
Wachana na hiz story za vijiweni na tabia za barabarism- man eaters..
Utapoteza zaid- huyo aliemtoa dogo uhai hakuna atakachofaidi
Unachekesha sana-
Kifo sio adhabu kijana.
Na sio kila damu huwa inamwagwa kizembe tu-
Labda kama umedhamiria kufa na wewe- Jela etc..
Hizi bla bla za visasi ni za malimbukeni sana..
Mara zote busara huwa mshindi
Dah, what happened?
Nakumbuka last time tunachat personally na kutuunganisha kwenye magroup ya Whatsapp 2015 kabla ya Uchaguzi mkuu.
Hakika alikuwa mtu mwema ..
Apumzike kwa Amani dada yetu.
Hivi unajua 40 years ni miaka 15 baada ya 1st degree?
Hapo ndio imeanza kuingia kwenye Executive committee.. kama una bahati..
Ungesema labda 55 sawa, ila 40 unasema mwil umechoka?
Unadhani kila mtu ni mcheza mpira?
Age just a number, tokeni usingizini..
Hivi Trump ana Sabina ngap?
Kaongea Fact..
Vyama vinatofautiana ukubwa..
Republican na Independent party za US are not the same...
Nikama ilivyo ACT kwa CDM au Chaumma kwa SAU
CDM ilipoteza mikakati yake na uweZo wake ilipoanza kuachana na mikakati ikaenda kuwekeza kwa wanaharakati uchwara...
Afande ni Smart, he said...
Duh,
Nadhan ni utani tu wa Bwana RC wa Dar ksma kawaida yake,
Ila pesa zina levels na ukitaka kuingia kwenye league ujipange, level za chini ni karibu kila mtu ..
Bilgate kachapwa Talaka ya mipesa na ameogopa kuweka hadharani alihonga how much kuachana na Melinda.
Mackenzie alichomoa zaid...
If there is any one thing that can kill an ambitious, Imaginary, determined and a visionary man faster than any Poison, Diseases or physical attack, then it is indeed a jail called Marriage!
No great accomplishment has ever been done by a married man....any, you name it...
Whatever you want...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.