Mfano nimepanga kila mwezi kodi 200,000 salary take home haifiki 600k. Je nikikopa na kujenga then 200,000 ya kodi iwe inalipa loan badala ya kupanga nalo ni kosa.
Yaan mamlaka hizi ni shida, unaweza lipia kila kitu uunganishiwe maji wanakwambia usubiri mpaka siku saba za kazi. Can u imagine tunavocheleweshwa kimaendeleo. Surveyor wao anakuja kupima hana hata kipimio anapima kwa miguu. Yaan ni shida nchi hii
Suala la lugha si hoja, nakumbuka rais wa Libya alikuwa anaongea kilugha Chao acheni kuwa watumwa. Lugha ni moja ya alama za taifa mbona mnapenda kutukuza vya watu vyenu mnavidharau? Mtu anaona ufahari kuongea lugha za magharibi kuliko za kabila lake. Hapa uzalendo haupo.
Hakunaga urafiki kati ya mwenye rasilimali na asiyenazo. Hivi why hatuna kikao hata kimoja cha UN kikafanyika kwenye nchi zinazoendelea? Miaka yote tufanyie kwao? Unadhani tunawaingizia pato kiasi gani kwa vikao hivyo? Wachumi wanajua concept hii.
Na kama si ruhusa kupeleka mwakilishi basi waziri asingeruhusiwa, acheni maneno mtampangiaje president nyie? Na pia kama nchi tumepoteza nini? Na zilizopeleka marais zimepata nini? Nadhani mleta mada angetuletea vigenzo vya huo mkutano tuone je tulikiuka taratibu?
Tatizo la taasisi hizi hazitaki kubadilika zifanye kazi kibiashara. Mfano Dodoma kuna hii inaitwa Duwasa yaani badala ya kufanya jitihada za kitafuta wateja wapya wenyewe wanazingua tu. Imagine mteja anataka kuunganishiwa maji anazungushwa zaidi ya miezi mitatu. Surveyor wao sijui wakoje ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.