Hilo nalo wazo. Sema umelishitukiza. Ujue ni ngumu kupata ghafla mtu anayeenda unakotaka. Labda ungetoa taarifa mapema huenda angepatikana anayeendana na safari Yako
Kwa kuwa umetambua tatizo lako, Anza kutafuta Ni wapi unapokwama, shida Ni Nini inayofanya usiwe na hayo yote uliyoainisha! Miaka ya kuajiriwa ina kikomo, ajira ulipaswa kuitumia Kama ngazi ya kupanda kuelekea mafanikio, ila Kama ajira haikusaidii, jiulize, mbona wengine walio na ajira kama yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.