Habari zenu ahsanteni wote mliokua interested na thread hii😊, nimerudi kuwajulisha tayari nimeshapata mtu. Kwa ambao mme ni dm will consider you kama ikitokea kazi nyingine, til next time💯🤲🏿
Habari zenu ahsanteni wote mliokua interested na thread hii😊, nimerudi kuwajulisha tayari nimeshapata mtu. Kwa ambao mme ni dm will consider you kama ikitokea kazi nyingine, til next time💯
Ngoja wakati wake kurudi unakaribia, utamsikia wasafi ndie anaefata baada ya zuchu.
yule mtoto ni hatari sana kupotea kiholela vile [mawazo yangu yanavyonituma]
Mungu amlaze mahali pema marehemu. Wana jf hili tilichukue kama mfano hai wa jinsi ya kuyapokea mawazo/mchango/shida ya mtu fulani anapowasilisha kwa njia ya maandishi. Leo jinsi tunavyojisikia baada ya kumpoteza mwenzetu itufunze kupunguza mizaha na mambo mengine ambayo ni hasi pale member...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.