Nadhani alipotaja machinery maanake ni asset ambazo zitaweza cover liabilities zote ikiwemo madeni kwahy suala la makubaliano na naona ni business nzuri ambyo hata mm binafsi npo tyr kuwa investor at its standing point Ila sio kwa kuchukua overall 10%
Sent from my 21051182G using JamiiForums...
Ikiwa bado hmn muwekezaji wa hyo capital moja kwa moja nashauri tenga fungu la hisa stahiki litakaloleta hyo total amount ya capital unayotaka kuraise ili tununue kama hisa na binafsi nitakua interested ili ku mitigate risk kwa upande wangu
Sent from my 21051182G using JamiiForums mobile app
Website Yao ina maelekezo yote hususani estimated returns plus njia zote za ku deposit za simu na bank.
https://www.uttamis.co.tz/
Sent from my 21051182G using JamiiForums mobile app
Kama una invest ni vyema ukajifunza khs fundamental na technical analysis...cha kwanza angalia kipi rahc kwako ambapo nadhani fundamental ni rahc zaidi maana ujifunze kusoma financial statements na kisha ndio uingie kwny technical. Ila pia pata basic nzima ya stocks na kujua vitu muhimu then...
UTT bado naitathmini model yake ya return maana misingi ya dini inakwamisha km ni mfumo unaohusisha riba na CRDB siwezi invest maana kuna percent inatokana na riba
Yaah....ila kampuni haiwezi kuwa delisted instantly maana kuna 3 years za ku comply na pia zile fraud aligation za EV company za china naona hazijaigusa NIO maana ipo chini ya serikali japo hzo news zina mu affect kwakua wapo kwny region moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.