Recent content by folk

  1. F

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    Niliambiwa nikipatiwa good medication naweza kuishi hadi miezi nane. Lakini matibabu ni gharama kubwa na sihitaji msaada niko Kwenye critical stage na napata maumivu makali sana. Nahisi ni vema nife nipumzike.
  2. F

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    Asante ndugu, Jana nimelia sana kwani nimemkosea nini Mungu Mimi.
  3. F

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    Nilishaumwa sana kaka. Maisha yangu yamekuwa ya mateso mno hapa Duniani, Nikapumzike tu.
  4. F

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    Ripoti ya daktari inasema baada ya miezi 4 nitakufa kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4.) Kwa hiyo miezi minne ijayo nitaweza kuona kile marehemu wanachoona sijui kufa kunaumaje? Juzi nimepita kando ya makaburi nikaishia kutabasamu tu nilipogundua next 4 month nitafukiwa...
  5. F

    Harusini karakata! Kituko cha mwaka

    Ahahaaaaha!! Nimecheka saaana kama ishu za zamani za Buricheka.
  6. F

    Harusini karakata! Kituko cha mwaka

    Umetisha mshana na hii kazi.
  7. F

    Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

    Amen mpendwa!! Maandishi yako haya yanaweza kutafsiriwa kama uungwana na huruma kubwa dhidi ya binadamu wenzako na waungwana wenzio. Asante, nitazingatia mpendwa!
  8. F

    Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

    Nakushukuru ndugu! Kauli yako ni kauli ya waungwana wengi wenye mapenzi mema na binadamu wenzao. Kwa maana hiyo hiyo, kauli ya wengi ni kauli ya mungu!! Mungu ataweka wepesi tu siku moja. Amen!!
  9. F

    Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

    Ndugu mpaka hivi sasa niko kwenye hali ya mtanziko, kwa maana sijapata mtu alie tayari kutafuta suluhu ya hili gumu kwa muktadha ninaopendekeza kulingana na tatizo langu mbali na sokwe ambae amependekeza suluhu itafutwe hospitali zaidi. Asante.
  10. F

    Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

    Nimekupigia punde ila naona huko busy kidogo!!
  11. F

    Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

    Ndio namwamini yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yangu, ila nadhani sijapata mtu wa mungu mwenye karama za mungu kuweza kuratibu na kuwezesha mlolongo mzima wa wokovu kupitia jina la yesu.
  12. F

    Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

    Shukrani ndugu, Pole kwa magumu yaliyokukuta na pia hongera kwa kuweza kutoka kwenye dhoruba hilo maana kuna baadhi ya watu wanaona kama vile masuala haya tunayozungumzia hapa ni hadithi za abrakadabla na kusadikika tu, mbaya zaidi wanafikia hatua ya kuanza kuhukumu watu waungwana na wasamaria...
  13. F

    Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

    Asante mwaya!! Si huyu ndugu cortunix ndio amekuja kuchafua hali ya hewa na kughafilisha watu. Naamini ni mtu mzuri pia cortunix.
Back
Top Bottom