Recent content by FOEL

  1. F

    Blog mpya nzuri sana sana ya mambo ya harusi kwa wadada imefunguliwa

    jipange, very low resolution kwa images zako, layout super cheap....
  2. F

    Diwani wa CCM Rombo ajiuzulu

    Au kashapata ugonjwa wa M4C?.
  3. F

    KIGWANGALAH @ WORK; Maandamano! Maandamano! Maandamano!

    NZEGA 4 CHANGE chini ya vijana wa CDM.
  4. F

    KIGWANGALAH @ WORK; Maandamano! Maandamano! Maandamano!

    CDM wanaweza kuitumia hii nafasi kwa manufaa binafsi, vijana wakavaa magwanda wakakaa mstali wa mbele kwenye maandamano na Kingwangala, duh hii itatafsiliwa vipi sijui...huyu jamaa hajui nini anatengeneza..hii ni hatari sana, kwa kuwa vijana wa CDM ni wepesi sana wa kuambaa na loose balls...
  5. F

    Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    okay Mr. First class economist
  6. F

    Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

    Kuna hii radio mbao ya Arusha www.arushamambo.com lakini wanapiga bolingo tu.
  7. F

    Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

    Redio yenu inabinga music tu , wekeni Jangwani walio na Dar wapate kinachoendelea.
  8. F

    Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Aibu, Unajichoresha Mh.
  9. F

    Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    This thread is closed:- Reason: Multiple IDs.
  10. F

    Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Kiranga, dont waste your time and energy for this dude, dude's wack!
  11. F

    Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Huyu yangu ni yeye Mh. Huyu jamaa nilikuwa nadhani ni mtu smart lakini kila siku zinavyoenda nazidi kuona ni mtu wa aina gani, first class economist...lols
  12. F

    Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Unajichoresha Mheshimiwa.
  13. F

    Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

    Mamii mzima lakini, za siku mbili tatu, niko Dar..nitakutafuta nikutoe out nikitoka jangwani jioni.
  14. F

    Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Yangtze Join Date : 26th May 2012 Posts : 1 Rep Power : 0 Likes Received: 1 Likes Given: 2 Check hiyo Deep Green, naona jamaa ameamua kuja kivingine, hahaha...ndiyo viongozi wetu hawa..haha..Naona watu mmeshashtuka zamani, safi sana.
Back
Top Bottom