Recent content by fm radio

  1. F

    Mimi mwalimu,Mafanikio niliyoyapa mwaka 2014 na ya 2015 na matarajio yangu 2016

    mkuu najua unapenda nikupe siri ya mafanikio yangu.ngoja nikuPM kwa sabab kuna vitu ninavyovifanya lakini sipendi wote wafaham.nakuPM mkuu
  2. F

    Mimi mwalimu,Mafanikio niliyoyapa mwaka 2014 na ya 2015 na matarajio yangu 2016

    ni kweli ila naweza nikashukuru kwa hiki nilichokifanya kwa huu muda ndugu.najua wapo wenye uwezo zaidi ya huu tena ni mkubwa lakini naweza kumshukuru mungu kwa hapa nilipofikia
  3. F

    Usizungumzie ualimu kama si mwalimu tafadhari

    sawa sawa mkuu ngoja ni upload,tuendelee kuijadili
  4. F

    Usizungumzie ualimu kama si mwalimu tafadhari

    naona watu ambao si walimu wanazungumzia ualimu kwa vitu wasivyovifaham vya kiualimu. kama swala la elimu bure,mimi kama mwalimu ambae pia nina kacheo fulani ni kuwa nilipeka kwa mikono yangu taarifa ya bajeti ya matumizi ya shule kwa mwaka ujao,pia nilipeleka taarifa ya madeni yote ya shule...
  5. F

    Mimi mwalimu,Mafanikio niliyoyapa mwaka 2014 na ya 2015 na matarajio yangu 2016

    mkuu sio wewe tu ambae huamini,hata nilivyokuwa naanza kazi nilikuwa nawaeleza walimu wenzangu lengo langu la kujenga nyumba,wengi waliniona kama mtu nisiejitambua,kwa mshahara upi utakaonifanya nijenge,lakn leo hii nao wameanza kupita njia nilizokuwa napita
  6. F

    Mimi mwalimu,Mafanikio niliyoyapa mwaka 2014 na ya 2015 na matarajio yangu 2016

    si misifa mkuu ila kuna watu wanazalau kazi zao,na mimi lengo langu ni kuonyesha pindi wewe unapolalamika kwa kazi unayofanya,yupo mwenzako mwenye mshahara kama huo na anamaendeleo kuliko wewe unaelialia
  7. F

    Mimi mwalimu,Mafanikio niliyoyapa mwaka 2014 na ya 2015 na matarajio yangu 2016

    nilikopa pia niliwekeza vitega uchumi ambavyo ni vya kawaida sana na hata jamii ilinidharau lakini walivyogundua wengi waliniiga.mikopo inatoa sana ila pia inabidi kuwekeza vitega uchumi
  8. F

    Mimi mwalimu,Mafanikio niliyoyapa mwaka 2014 na ya 2015 na matarajio yangu 2016

    nipo TGTSD1 maana nimeingia kwa level ya digrii.ila kumbuka kipata cha mtu cha mshahara na matumizi yake ni vitu viwili tofauti.
  9. F

    Mimi mwalimu,Mafanikio niliyoyapa mwaka 2014 na ya 2015 na matarajio yangu 2016

    Nimeajiriwa serikalini mwaka 2013, mwaka 2014 niliweza kununua kiwanja chenye thamani ya milioni sita (hapa Dsm), na nikaanzisha ujenzi ambao ulinigharimu milioni kumi nne hadi kufika kwenye mkanda wa juu(lenta). Mwaka 2015 namshukuru mungu nimeweza kuipaua yote ambapo imenigharimu kama...
  10. F

    Swali la Gardner G. Habash: Nakupa milioni 10 nilale na mkeo kwa siku 1 tu, vipi unaniruhusu?

    nirushieni namba za gardner nimpe mke wangu anipe hiyo hela,tena ntamwongezea akae nae mwezi mzima.nipeni namba
  11. F

    Diamond aitikisa tena dunia kudadadeki, avuna tuzo za kutosha AFRICAN NAFCA

    mbongo fleva mondebinladen aka platnumz ametusua tena baada ya kuvuna tuzo ambazo kiba ataishia kuzisikia tu radioni.monde ameshinda tuzo ya msanii wa mwaka anaependwa zaidi na wimbo bora wa mwaka wa "nana".source:bongo5
  12. F

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    wadau nimeamua kuanzisha huu uzi uwe maalumu kwa chama cha mapinduzi maana naona hakuna habari yoyote inayozungumzia chama hiki zaidi ya UKAWA(habari ya mjini na vijijini) tu.UKAWA wametawala kila kona vijiweni,magengeni,vyombo vya usafiri,mashuleni mpaka vyuoni na sehemu nyinginezo nyingi.wadau...
Back
Top Bottom