Recent content by FLYAIR

  1. FLYAIR

    Magufuli, "Kama Unaona Kazi ya Urais ni Ngumu Kwako, Jiuzulu! ".

    Kulindwa ndugu kutamu pia unasema ili wengine waogope uwe free
  2. FLYAIR

    Kuzuiliwa Ndege Yetu A/Kusini : Waislamu Wasoma Dua Kuombea Mungu Afanye Wepesi, Mufti Mkuu Aomba Watanzania Kuonesha Uzalendo

    Sawa watu tunauzalendo ila tunadaiwa so option hapo ni kulipa deni ndio tutakuwa wanjanja bila hivo ni unafiki tu, kama ni deni sahihi tulipe tu.
  3. FLYAIR

    AJIRA - INSURANCE AGENCY SALES OFFICER

    WINOME (T) LIMITED ni company binafsi iliyosajiliwa chini ya sheria ya Company Act (2002) kufanya kazi za uwakala wa Bima (Insurance Agency and Broker), Clearing and Forwarding, courier services na n.k. Ofisi zake zipo Dar es salaam, Azikiwe Street-Mavuno House second floor. Kwa sasa inahitaji...
  4. FLYAIR

    Waziri Ndalichako: Michango ya hiyari shuleni inaruhusiwa

    Kama ni hivi basi Afisa elimu mkoa wa Dsm amrudishe mkuu wa shule ya sec Mwanagati kwani amefukuzwa pasipo kuzingatia huu waraka kabisa.
  5. FLYAIR

    Ndege ya ATCL yachelewa kuondoka ndani ya muda; watoa ufafanuzi!

    Kweli kabisa!!! Sasa uchelewe wewe fastjet uone kama nauli upata chochote.
  6. FLYAIR

    DAR: Mkuu wa Mkoa atengua agizo la Polisi kuhusu kutoa 'tinted'

    Katazo la kutumia magari yenye vioo tinted latenguliwa na RC wa DSM, Source,Startv Habari
  7. FLYAIR

    Vifo vya Wanafunzi Arusha: TBC mmetutia Aibu kubwa

    Kweli TBCwametangaza kutoka sehemu ya waombolezaji muda mrefu sana na hata ikafafanuliwa kuwa picha zinazosambazwa kuonesha watoto kabla ya safari sio sahihi kwani kuna waliokuwa na gari nyingine tofauti na ile iliyopata ajali pia wale watoto wako salama.
  8. FLYAIR

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    Sasa yeye Mkuu mwenyewe aache kulia aoneshe vyetu kuwanyamazisha hao unaowaita waongo. Ni kitambo hili suala kama mtajwa angelitoa vyeti aaaah lingekuwa limeisha.
  9. FLYAIR

    TABORA: Uhamisho wa Walimu ndani ya Masaa 24 ni Unyama na haikubaliki

    Mkuu hiyo inatokea pia hata IGUNGA kwa hiyo nadhani mkoa wa Tabora ndio tabia za viongozi wake.
  10. FLYAIR

    Uhamisho wa mtumishi bila malipo

    Ndugu zangu poleni na majukumu.. Hivi tuulizane jamani, inawezekanaje halmashauri kuwapangia vituo vipya watumishi (uhamisho ndani ya halmashauri bila malipo) tena kwa vitisho usipoenda ilhali sheria ipo wazi kabisa. Sasa swali ni je kwa mshahara wa sasa kama wa mwalimu chukulia amepanga nyumba...
  11. FLYAIR

    TANGA: Mahakama kuu yatupilia mbali shauri la Mama mjane aliyelalamika kwa Magufuli.

    MAHAKAMA Kuu Kanda ya Tanga imetupilia mbali rufaa ya kusikiliza upya shauri la mirathi ya marehemu Mohammed Shosi lililofunguliwa na Swabaha Mohamed Ali. Mwanzoni mwa mwezi huu, Swabaha aliyedai kuwa ni mke wa marehemu Shosi, aliibuka mbele ya Rais Dk. John Magufuli wakati wa kilele cha...
  12. FLYAIR

    Sakata la Uber na Madereva Taxi jijini Dar: Ushauri kwa RC Makonda

    Binafsi nasema changamoto walio nayo madereva wa tax nchini ni bei languzi wanazokutajia kama mteja. Mfano.. Uber kutoka posta to airport ni sh10,000 assuming hakuna foleni wakati tax ya kawaida usipungukiwe elfu 25. So madereva tax wajitathmini kabla ya hilo kwanza. Duniani ktk nchi...
  13. FLYAIR

    Bomoa bomoa Dar iliyotangazwa na manispaa ya Temeke ni sahihi?

    Sasa hawa jamaa siwanatabia ya kuigana na manispaa nyingine nao wakisema waige aaaah watatupa umaskini maishani mwetu.
  14. FLYAIR

    Bomoa bomoa Dar iliyotangazwa na manispaa ya Temeke ni sahihi?

    Jana kupitia taatifa ya habari ITV nimesikia na kuona serekali ya manispaa temeke wakitangaza kubomoa nyumba zote ambazo wamiliki wake hawakuomba vibali vya ujenzi kutoka mamlaka. Watalaam tusaidieni Dar es salaam karibu yote nyumba zinajengwa katika makazi ambayo kwanza mamlaka haikumbuki hata...
Back
Top Bottom