Recent content by Fly 11

  1. F

    Nilikosa mtu wa kufanya nae umoja

    Okay. Okay . Sasa nashindwa kuelekeza hapa maana wana mifuko ya uwekezaji tofauti tofauti. Sasa basi kwa kukusaidia nakuandikia namba zao hapa kupiga Ni free 0754 800544 / 0754 800455 0715 800554/0715 800455 0782 800455 Kama uko Dar es salaam makao makuu yapo jengo la sukari house Posta mtaa...
  2. F

    Biashara yangu changa. Naomba kuelekezwa jinsi ya kuwapata, kuwatumia na kuwalipa vijana wa kusambaza bidhaa

    We nawe ubishi wa buree. Si useme tu Asante kwa ushauri. Maana ushauri uliopewa Ni wa maana na wewe unajua ila tu umemua kubishana. Una bahati tu wazee wa jokes wako busy Jukwaa la siasa na uchaguzi.
  3. F

    Nilikosa mtu wa kufanya nae umoja

    Nikushauri kitu. Kama hujajua au hujapata bado Biashara ya kufanya na hiyo pesa nenda kawekeze UTT Ni mifuko ya serikali ya uwekezaji. Kuliko kuweka bank au kuwa nayo mkononi huku ukiila kidogo kidogo, weka UTT iwe inazaa mdogo mdogo huku ukifikiria Cha kufanya. Na hata ukipata Biashara ya...
  4. F

    Natafuta kazi. Tafadhali naomba Msaada kwa hili

    Ndio, nilifanikiwa kufanya savings kiasi japo kiugumuugumu.
  5. F

    Natafuta kazi. Tafadhali naomba Msaada kwa hili

    Asante kwa ushauri , Nina mpango pia wa kujiajiri nakusanya nguvu kidogo.
  6. F

    Natafuta kazi. Tafadhali naomba Msaada kwa hili

    Asante kwa ushauri , Nina mpango pia wa kujiajiri nakusanya nguvu kidogo.
Back
Top Bottom