Recent content by FlowCentric

  1. F

    Kwacha ya Zambia inaipiku shilingi ya Tanzania kwa mbali

    Thamani ya pesa sio kuwa na Idadi kubwa ama ndogo ya sifuri. Kwacha iliondolewa sifuri sawa ila thamani yake inakuja kwenye purchasing power. Mimi nikiwa Zambia huwa nalala lodge nalipa kwacha 250 sawa na karibia 80000 tsh mwaka huu mwanzoni lakini hadhi ya ile lodge kwa tz unaweza lipa sh 30000...
  2. F

    Kuchaguliwa kwa Magufuli, Gasi yetu imeponea chupuchupu

    Gas yetu au Gas ya wachina? Hivi hujui pia pale mtwara kuna meli ya wachina inachimba mafuta baharini bila hata kuyalipia? Nchi hii tukijitambua huku kuvumiliana kutaisha kabisa
  3. F

    Maskini Tanzania!

    Hii nchi ina watu wa ajabu Sana.
  4. F

    Tanga - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hapana Mbaruku ni mwanachama wa CUF na sio chadema
  5. F

    Hongera JWTZ kwa kujitenga na ushabiki wa vyama wakati wa uchaguzi

    Ndio maana Mkulu alimthamini sana huyu jamaa kuliko boss wake hapa ndo naunganisha dots sasa.
  6. F

    Rais Kikwete azungumzia kauli za Magufuli kuikosoa Serikali

    Mkuu umewasahau na hawa: Escrow, Meremeta, Twiga, Pembe za Ndovu, Nyumba za Serikali, Mkataba wa Gas, Epa, Sukari(Mrs sombody), Vichwa na Mabehewa ya Treni, Home shoping center scandle, Mikataba Mibovu ya Madini mpaka kahama kuna mlima unaota, 17 Contracts na Wachina, Richmond(Muhusika alisi...
  7. F

    Magufuli na hapa kazi tu

    Tatizo ccm eti akina January Makamba na Kibajaji ndo vichwa vyenu kwenye kufikiria. Kufikiria kote huko mkaishia kwenye M4C ambayo inatumika na wenzenu? Kwa upeo huu sidhani kama mna hata mbinu mpya za kuiletea Tanzania maendeleo.
  8. F

    CCM/Magufuli na falsafa ya kuiga-iga.Duh wameiga na hii

    Hivi yule wa tezi dume hakuwa ikulu au yule wa operation kubwa hakuwa ikulu?
  9. F

    Rais Kikwete na Tundu Lissu wakutanishwe

    Hao usalama mbona walimuacha akakutana na wavuta bangi na machangu pale mlimani city?
  10. F

    Star TV should declare their interest

    Dialo anatafuta pesa ya kulipa wafanyakazi mshahara maana kufanya kazi star TV inahitaji moyo Sana inaweza pita hata miezi mitatu hawapati mshahara wanaishi kwa ofa tu.
  11. F

    Mwaka wa mabadiliko, je wewe unafurahia au unasikitika?

    Kwa akili yako unahisi Magufuli hataongozwa na Kikwete na Mkapa na Kinana? Nahisi hata Riz 1 anamuweza
  12. F

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Riz na Nape waliwahi sema rais hawezi toka kaskazini ila mlinyamaza. Ccm kila mbinu mnatumia sasa udini uko wapi hapo. Mimi sio Mlutheri ila namuombea pia
  13. F

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Muanze na ile ya Magufuli kuwa nchi mkiwapa wapinzani itageuka kuwa Libya.
  14. F

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Huyu Magufuli kadri siku zinaposonga ndo anaishiwa akili Ina maana hajui Libya walifanyaje mageuzi yao? Juzi Nigeria wameiondoa serikali hiyo vita ilikuwepo?
Back
Top Bottom