Dah!kama vile nakuona kamanda ulivoandaa tape measure yako kwa ajili ya kupima umbali wa mita 200 ukae ili ulinde kura!!
Wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, aliyekuwa Mnadhimu wa Jeshi hilo Luteni Jenerali Abdulahman Shimbo aliitisha mkutano na waandishi wa habari na kuvitaka vyama vya siasa kutokugomea matokeo ya uchaguzi kwa madai ya kulinda amani ya nchi.
Kauli ile ya Shimbo ilichukuliwa na wengi kama ya kisiasa na ya kibaguzi ambayo ililenga kuvididimiza vyama vingine na kuibeba CCM.
Ni ukweli usiopingika leo jeshi letu chini ya Jenerali Davis Mwamunyange kwa mara ya kwanza limekataa kujiingiza kwenye siasa za ushabiki wa vyama.
Ni matumaini yangu katika kipindi kilichobaki Jeshi la polisi chini ya IGP Mangu litatenda haki na kujitenga na ushabiki wa vyama kama ndugu zao wa JWTZ.
Asante Mwamunyange kwa mapenzi uliyonayo kwa nchi yako na hongera kwa JWTZ.
Asante kwa ufafanuzi mzuri, maana hawa chadema hawana akili wao kila siku wanawaza kufanya fujo tu, ngoja ipite 25/10 nadhani watajaza magereza. Maana mwenyekiti wao mjanja kajichukulia chake mapemana na sasa anahamisha tu hawa malofa wao wanaishia kupewa viroba tuTatizo lako mleta maada hii hujui kitu, Shimbo kipindi kile alikuwa amekaimu madaraka ya mkuu wa majeshi tena huyu huyu Mwamnyange, so alikuwa na kofia mbili kipindi hicho;
1. Kaimu Mkuu wa Majeshi(Mkuu wa Majeshi maana mkubwa wake alikuwa nje ya nchi kikazi).
2. Mwenyekiti wa vyombo vya ulinzi na Usalama, na ndo maana mkuu wa polisi alikuwepo, mkurugenzi wa usalama taifa alikuwepo, mkui wa magereza alikuwepo(wakuu wote wa vyombo na usalama walikuwepo)nk.
So, alikuwa anafanya kazi na alitoa tamko hilo la kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa amani na utulivu. Sasa nini kosa yake? Ucha umburura huo ni wajibu wake kikatiba(Mkuu wa Majeshi/mwenyekiti wa vyombo vya usalama)kuhakikisha amani na utulivu nchini.
Sawa jeshi linaweza kuwa linaamini chama fulani lakini sio kujionyesha wazi, ndiyo maana tunalipongeza jeshi letu kwa kufuata maadili ya kijeshi.Kwa taarifa rasmi katika biashara ya siasa hakuna kumuamini mkuu yeyote yule ,hivi mnaijua siasa au ndio mmo mumo tu ? Mnajuaje kama na wao ni waumini wa upande fulani wa chama cha siasa ? Kura zitalindwa na wanachama wenyewe kwa njia wanazozijua wao na kuziamini ,hivi hawa mapolisi si ndio waliokimbia na masnadku ya kura kule Pemba ,mwaka huu maneno ya njiani yatabakia njiani haondoki mtu kwenye kituo kama kuzama na kutota basi kutaanzia hapo !
Usikalili soma tena nilichoandika.Asante kwa ufafanuzi mzuri, maana hawa chadema hawana akili wao kila siku wanawaza kufanya fujo tu, ngoja ipite 25/10 nadhani watajaza magereza. Maana mwenyekiti wao mjanja kajichukulia chake mapemana na sasa anahamisha tu hawa malofa wao wanaishia kupewa viroba tu
Wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, aliyekuwa Mnadhimu wa Jeshi hilo Luteni Jenerali Abdulahman Shimbo aliitisha mkutano na waandishi wa habari na kuvitaka vyama vya siasa kutokugomea matokeo ya uchaguzi kwa madai ya kulinda amani ya nchi.
Kauli ile ya Shimbo ilichukuliwa na wengi kama ya kisiasa na ya kibaguzi ambayo ililenga kuvididimiza vyama vingine na kuibeba CCM.
Ni ukweli usiopingika leo jeshi letu chini ya Jenerali Davis Mwamunyange kwa mara ya kwanza limekataa kujiingiza kwenye siasa za ushabiki wa vyama.
Ni matumaini yangu katika kipindi kilichobaki Jeshi la polisi chini ya IGP Mangu litatenda haki na kujitenga na ushabiki wa vyama kama ndugu zao wa JWTZ.
Asante Mwamunyange kwa mapenzi uliyonayo kwa nchi yako na hongera kwa JWTZ.
Nano amelihusisha kulipongeza ni kulihusisha?Limekataa kwani limeambiwa na nani likakataa???Mbona ndivyo kanuni zao zinavyowaongoza kuwa.Hivi Chadema mtaacha lini kuhusisha Majeshi hususani USALAMA Kwenye propaganda zenu.Mna chuki na kila mtu.
Nano amelihusisha kulipongeza ni kulihusisha?
Sidhani kama unajitambua pamoja na kutoa mfano ya 2010 nina wasiwasi kama umenielewa, sidhani kama jeshi ni wajinga kukamata kila mtu anayelipongeza.Kwani ni nani kaliambia Jeshi lijiingize kwenye ushabiki wa vyama likakataa??Unaweza kumtaja alielitaka jeshi lijiingize kwenye ushabiki wa vyama na limemkatalia??Jamani mambo ya jeshi yaachiwe wanajeshi wenyewe.Ukikamatwa si Mbowe wala Lowassa watakaokuletea chai MAHABUSU.
Elimu elimu elimu ,hukumu ya konyonga mtu unafikiria ni kama kuamka asubuhi huku mikono ikiwa imeshika sehemu za siri ???