Huwa namsikia Marehemu Sokoine na baadhiya waliokwenda zao. Siwezi kuwasema sijawaona. Ninayedhani katika kizazi changu alikuwa kiongozi wa mfano ni Hayati Deo Filikunjombe. Huyu ni CCM pekee niliyewahi kumpenda (baada ya Nyerere of course).
Morogoro ni moja ya mikoa ambayo uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri kwa kiasi kikubwa mazingira. Waharibifu wa kwanza wa mazingira ni vigogo wa serikali na matajiri waliojenga mpaka kwenye hifadhi ya milima ya Uluguru na hakuna wa kuwaambia chochote. Mwaka huu...
Unaringia Imani ya babu sijui baba yako kwani uliambiwa watakusaidia kuingia peponi? Ungekuwa imani yako unaifahamu vizuri na unawapenda na kuwaheshimu wazazi wako kama Quran Tukufu inavyosema ungeshakuwa na aibu ukafuta huo uzi kuliko ujinga uliofanya wa kulinganisha uhai wa binadamu (tena baba...
Baada ya kuusoma huu uzi kuanzia mwanzo mpaka hapa nahisi nina deni ambalo nilitaka nisililipe baada ya MAKURUTA wakiongozwa na mwasisi wa uzi Riky kutaka kuharibu kazi aliyoianzisha mwenyewe. Nina masihara kadhaa ambazo kuweka code ni ngumu haswa maana itageuka kuwa chai na humu kuna...
Salaam ziwafikie wote.
Leo nimeamka nikiangalia mitandao ya kijamii fb,whatsapp n.k. nikaona jinsi Marehemu anavyosifiwa kuliko chochote kile. Nimewaza sana kwa kuona baadhi ya wasifiaji wakuu ni wafanyakazi wa serikali ambao kwa miaka 5 ya uongozi wa bwana yule hawakuwahi kuona nyongeza za...
Mwanamke kamuua mpaka mwanaye aliye tumboni mwake halafu bado mshkaji anamuita wife material, eti ana heshima, ana tabia nzuri na mpole..... huyo ni muuaji mkubwa sana na hafai kupewa hata moja ya hizo sifa. Big up sana kwa wanawake ambao wamepambana na ujauzito japo walikanwa mpaka na familia...
Mtoa mada ana hoja ya msingi aisee, yaani huwa nikirudi home Chuga naanza kuujutia urefu wangu. Hiace utadhani umekaa kwenye kigoda huku magoti yamebanwa na seats; basi likiingia stendi mpaka kupaki ni karibu nusu saa yaani mara nyingine ni bora ushukie kabla ya stand uchukue tax kuliko ile jam...
Hi stand huwezi amini ipo katikati ya jiji ina mashimo haswa na vumbi wakati wa kiangazi na masika yakifika na ikinyesha nvua unaweza hata ukaanza mradi wa kufuga samaki.
Hawa wamachinga waliharibu sana jiji la Arusha yaani sehemu ya kutembea kwa dakika tano unatumia dakika kumi ukikwepa na kuruka masufuria ya watu barabarani kama vile una-dribble mpira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.