Mimi pia na mtu ninaeamini kuwa afya ya mtu mara nyingi ni mapenzi ya Mungu. Lakini kwa hili la Lowasa sasa linanitisha kwani dalili zipo wazi. Watabibu tufumbueni macho.
Sijawahi kumuona lOWASA akila hadharani. Nimesikia analishwa siku hizi. Hapo kwenye dhifa ya kitaifa akialikwa huko majuu iatakuwaje.. unaweza ukadhani nakashifu lakini just think critically.
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowassa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowassa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku?
Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho...
Kıpindi kile serikali inamshughulikia sheikh Ponda mbona matusi kwa polisi hayakuwepo? Sheria ni msumeno jamani, tukae kimya sherıa ichukue mkondo wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.