Recent content by flanco fez

  1. F

    Serikali yasitisha masomo kwa vyuo vya kati na vyuo vikuu kuanzia tarehe 18/03/2020 ili kupambana na Corona

    ukifunga duka, hospitali... Walioko mjini watakula nini? Wenye homa tutaipata wapi panado?
  2. F

    Ukweli Kuhusu Dragons

    sawa mkuu... ila hiyo elimu ya calculation yako iko wazi au umebuni tu mkuu wangu!? Sidhan kama kunae anaejua mwanadamu wa kwanza aliumbwa lini kwamaana hata ukiifuata historia bado utapewa idadi ya miaka ya fuvu (predicted from death date) lakin haijasemwa ni lini mwenye fuvu alianza kuishi...
  3. F

    Ukweli Kuhusu Dragons

    be straight sehemu gani kwenye biblia?
  4. F

    Ukweli Kuhusu Dragons

    mmmmh! Source ya hii taarifa tafadhali
  5. F

    Kama haukuangalia hizi muvi uzaliwe tena

    u Uncle JJ, Oprah
  6. F

    Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

    Umeongea vizuri sana MP, lakini katika swala hapo la kununua na kugawa chakula chakula, ukweli nchi yetu bado haijapata nguvu ya kukidhi jambo hili, pengine pia ningeongeza ushauri kuwa, serikali ingejikita zaidi kuwezesha ndugu zetu walioko kijijini ambao corona wanaisikia kwa majirani pengine...
  7. F

    Kama una tatizo la kukosa furaha, hofu na maumivu kwenye moyo pitia hapa

    Kakak nashukuru sana umenifumbua macho yaliyopata ukoma kitambo kidogo. Ni mtu wangu wa karibu sana niliye kua nafanya jitihada za yeye kuondokana na gonjwa hilo....yamkini umenisaidia sana
  8. F

    Mapya ya Lissu: Risasi moja iliingia kwenye ini

    Yaaani kila mtu ana lake kuhusu Mh.Lissu kikubwa kumuombea tu
Back
Top Bottom