Habarini,
Nilikuwa nahitaji mwenye ujuzi, uzoefu wa kutuma mizigo worldwide aniambie ni wapi naweza kutuma mzigo wangu kwenda Mombasa Kenya kwa uhakika zaidi na gharama nafuu, ahsanteni
Mbona sio wote mzee ishu ni kuwa wanawake washakuwa wengi ulimwenguni, hivyo kupelekea kuwa na nguvu zaid kwa sasa wanawake ndo waamuzi kuwa msanii yupi anaeenda mjini yupi abaki, na kama ujuavyo wanawake wetu wanapenda kubembelezwaaaa haswa na sauti ya mtoto wa kiume ikiwa ya kumtoa nyoka pangoni.
Forsage nilijiunga ila nilikubali nimepigwa 17k ila ni kazi sana kushawishi mtu kujoin japo nilipata mmoja tuu alivyojiunga nikapata sh.6k ila roho iliniuma kwa kuwa ni kama unatapeli watu maana sio kila atakaejiunga atakuwa na power ya kushawushi kama niliyokuwa nayo hivyo ni kama ningekuwa...
Piece moja sh.35, 000.
Upana mita 2, Urefu mita 3.
Deliveries zipo kwa Dar na mikoani natuma pia.
Ukihitaji nipigie au nicheki whatsapp nikutumie samples uchague 0685269533.
Mashuka size 5*6 yanapatikana kwa Bei nafuu.
Tsh.22,000 package Ina Mashuka mawili na foronya mbili.
Delivery zipo kwa Dar na mikoani natuma.
Ukihitaji nipigie au nicheki WhatsApp 0685269533.
Nipo Ubungo External [emoji625]
Habari wana JF,
Mimi kuna ndugu yangu wa mkoani ameniomba nimnunulie bidhaa fulani huku Dar kwa kuwa huku inapatikana kwa bei rahisi kiasi 60,000. Sasa nilikuwa nahitaji mniambie ni bus gani nikituma huu mzigo utafika salama na kwa uhakika zaidi na kwa bei rafiki maana nilishatumaga mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.