Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,220
- 12,725
Ni kuwa tunaukike au ni nini? Waimbaji kama Q chief, Zed Anto, Voice Wonder, Alikiba, Diamond, sijui nani the prince, oliver ngoma, Muumin Mwijuma, Waziri Sonyo nk ndiyo wanakubalika sana. Watu wenye sauti zenye ujazo utaona hawafiki mbali kwenye fani.
Ukisikiliza nyimbo za wenzetu unakuta mwanaume anasauti imeshiba na inatoka yote. Sikiliza hata wahindi tunaowaonaga ni dhaifu. Mwanamke ndiyo anaimba sauti nyembamba ila mwanaume anatoa yote.
Sikiliza wanaoimba nyimbo za rock, mtu anaimba hadi ukumbi unatetema, sauti yote, kubwa na iko vyema. Cheki mtu kama Olomide, anaimba sauti imeshiba na anafanya poa sana.
Nini kimetupata hadi kuwa feminine kiasi hiki?
Ukisikiliza nyimbo za wenzetu unakuta mwanaume anasauti imeshiba na inatoka yote. Sikiliza hata wahindi tunaowaonaga ni dhaifu. Mwanamke ndiyo anaimba sauti nyembamba ila mwanaume anatoa yote.
Sikiliza wanaoimba nyimbo za rock, mtu anaimba hadi ukumbi unatetema, sauti yote, kubwa na iko vyema. Cheki mtu kama Olomide, anaimba sauti imeshiba na anafanya poa sana.
Nini kimetupata hadi kuwa feminine kiasi hiki?