Ni takataka Hakuna kipya hapo labda Washindane na NMB.
Jipe muda kafanye survey CRDB,EQUITY,absa na WCB yako ukitumia kiwango Cha kukopea na muda uleule mfano Miezi 24.
Fanya analysis uone wapi ni nafuu.
Nahitaji kufahamishwa.
Kuna mwaka Kati ya 2006/7 enzi za rais kikwete,ulichimbwa mtaro kandokando ya barabara kuu za nchi yetu, tuliambiwa ni mkongo wa taifa utaenda Kila mkoa na wilaya kwa ajili ya mawasiliano ya intaneti!
Je huu mradi unatofauti gani na ule wa mh kikwete?
Mwisho, tumeshuhudia...
Jamaa mmoja aliniomba kumtaftia mtu wa kusaidiana naye kuuza mgahawa, malipo angalau mazuri na muda ni asubuhi Hadi 12 jioni.
Nikaenda kwa mama mmoja hivi kwa heshima sana kumuomba binti yake aliyetoka kuhitim form6, majibu yake yalinikatisha tamaa sana.
Alisema lololooo! Mwanangu hawezi...
Nashukuru kwa muda wako juu ya Jambo langu, hayo uliyataja nayajua yote, hesabu rahisi mfano umekopeshwa laki 1, utakatwa magarama ya bima na huduma ya mkopo Kama sh 9000/-,utalipwa kwa muda wa miezi 12 na Kila mwezi nilipe 10000/-, hivyo jumla ya hela yao ni 120000/-. Sasa unaambiwa uingize...
Nimekubali mkopo wa 8mln kwa makato niliyoyataja Mara miaka 8 kwa Riba ya 16asilimia kwa mwaka ni ni recing balance,hoja ni kuwa baada kuisha muda wa8yrs Kuna sh laki 2 Fulani iko nje ya miez 96 ya makato imetoka wapi ikiwa 138000 ni rejesho la Kila mwezi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.