ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY - TANZANIA
Maoni ya ACT-Tanzania kuhusu namna ya kutoka katika mkwamo uliopo katika mchakato wa Katiba Mpya
1. Nchi yetu iliingia katika mchakato wa Katiba kwa kushirikisha wananchi wote ili kupata Katiba bora yenye kuakisi matakwa ya nchi kwa sasa na...
Winners is finally here. And cut! Ohh, its not a movie, its finally a wrap on the 2014 African Music Magazine Music Awards held last night at the Eisemann Center in Texas.The African Music magazine Awards is the only music awards show organised in the Diaspora that caters to all musical genres...
kuna watu wakicomment kitu wala hushangai, uchama umewajaa badala ya kuangalia maslahi ya taifa letu,kwa style hii mtu wa namna hii ataendelea tu kuwa operator wa account za facebook za wazee flani ndani ya chama,vijana wenzako wanakuja wanakupita wanatumia vipaji vyao katika uongozi wa nchi...
ni kweli tunategemea Makamba kuelewa imani waliyokuwa nayo walimu hawa kama mkombozi wao,usiwaangushe walimu hawa kama walivyoangushwa na wazee waliopita
MTANDAO WA WALIMU VIJANA TANZANIA
MAAZIMIO YA MTANDAO
ndugu wajumbe,
Habarini za wakati huu....
ndugu zangu,
Kwa mapenzi ya Mungu Tumekutana hapa leo kufanya Jambo la Kihistoria kwenye maisha yetu ya kazi, hakika mimi na wenzangu hapa mbele, tunawashukuru kwa imani yenu mliyotuonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.