Waooh Karibu Jf kurwa, hakika wewe ni Moja ya vijana wapambanaji Sana niliowahi kukutana nao.
Nakuombea mafanikio makubwa kwa huduma yako kwa jamii.
Vipi hizo juice unatengeneza kwa oda au tulizibahatisha siku Ile tu maana zimenisaidia Sana kwenye tatizo ya appendix na kutokupata choo vizuri...
Leo ngoja niseme kitu kinachoniumiza sana hata nikinyakuliwa niwe nimetoa langu la moyoni, ambacho natamani Sana MH. Rais JP Magufuli alitoe Kama tamko na bungeni sheria itungwe kabisa ili kusimamia kisawa sawa.
Watoto wa viongozi wa serikali tusome nao shule zetu za serikali (kata).
Najua...
Yeye amesema chama Cha mapinduzi (CCM) yeye Kama mwenyekiti hawawezi kumpitisha aliyempita umri, rejea hata mh. Mstaafu JK alisema hivyo. kwahiyo hapo Katiba haihusiki, usi-genaralize. Bali ni ndani ya chama na utaratibu wao.
Umenikumbusha kitu, Kuna jamaa alikuwa anaumwa aliomba msaada wa matibu kwa ndugu na jamaa hakuweza kujitokeza na kumsaidia, siku amefariki wale wale walioshinda kumsaidia wakajitokeza kutoa Rambirambi ndefu ambazo zingetolewa enzi za uhai wake angeweza kutibiwa na kupona.
Mimi ni mvivu wa...
Tuache utani uandishi ni mgumu jamani waandishi tuwaheshimu Sana. Mimi nilimaanisha yeye alikuwa mkondoa B Mimi nilikuwa mkondo A yaani majengo mawili tofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.