Wahi kabla siku 90 hazijaisha toka mtoto alipozaliwa,,kuna fomu ya kujaza ipo online www.lapf.org unaambatanisha taarifa ya uzazi toka hosp km bado mtoto hajapata cheti cha kuzaliwa,,ni rahisi,,atapewa 149% ya basic salary yake. Hakuna usumbufu wala ubabaishaji ni fao la wazi sema wengi hawajui...