Recent content by FirstClass

  1. FirstClass

    DOKEZO Ujumbe wa waliokuwa Wafanyakazi wa TPA kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan, wasema walifukuzwa kazi hawajalipwa stahiki zao

    Kama ni kweli hamfahamu pa kupeleka malalamiko yenu basi tunasafari ndefu km taifa.. Nyerere alikosea sana kuomba uhuru kwa watu ambao hawajajitambua
  2. FirstClass

    Jinsi navyoitimia nyiongeza ya mshahara

    Israel ikimpendezaa akuunganishe kwenye jambo LA ndugai maana huna mchango kwa jamii
  3. FirstClass

    Natafuta kazi

    So huwez kuja dar? OK saw
  4. FirstClass

    Natafuta kazi

    Utaweza kuja Dar kufanya biashara ndogo ndogo mfano biashara ya matunda nk.. ? Umri wako?
  5. FirstClass

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Huko PM sasa.. Me- Mambo Mdada.. Mdada- Safi Me - Nimeona unatafuta Mtu wa kuishi nae nadhani nipo tayali.. Mdada- Upo wapi na Unajishughulisha na nini? Me- Nipo Dar najishughulisha na biashara.. Mdada- Biashara gani? Aise huko PM ni kama Police tu..
  6. FirstClass

    Kuna mtu amewahi kupata mwenza kupitia hili jukwaa?

    Ila Cocastic unafaa upewe Hadhi ya Platnum member.. unawachangia sana JF
  7. FirstClass

    Je, Mariam Magdalena alikuwa mpenzi wa Yesu?

    Kuna siku nilikuwa nachallenge Mambo ya Mungu dhidi ya vijana flani waeneza Injili mitaani.. Niliwachallenge huku nikiwarecord, usiku wake nikapoteza funguo ya kitasa ktk mazingira ya kutatanisha, nilizurula km mbwa kila mahali nilipokaa Sirudii tena kuchallenge mambo ya Mungu
  8. FirstClass

    Usiende ughaibuni kutafuta maisha

    Umetumia muda mwingi kuandika pumba
  9. FirstClass

    Kazi zenye changamoto ya kutoboa

    Askali Magereza
  10. FirstClass

    Kazi zenye changamoto ya kutoboa

    Huku kwetu Wishiteleja Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga huduma za mwenyekiti ni buree, na hiyo ndio Hali halisi kwa maeneo mengi ya Tz isipokuwa huko kwenu Daslam
  11. FirstClass

    Kazi zenye changamoto ya kutoboa

    Aaha winga wanapitia mengi sana.. unampereka mteja kwenye bidhaa kumbe mteja mwenyewe anakuchora alitaka kupajua inapopatikana bidhaa hiyo.. kutoboa ni kipengere
  12. FirstClass

    Kazi zenye changamoto ya kutoboa

    Veo /Meo kima cha chini kimeongezwa.. Seminar na Vikao vya back to back vinawabeba.. Walimu Mikopo inawabeba
Back
Top Bottom