Heshima yako Mkuu.. Napenda kuskia maoni yako khs game ya juz kati ya Usyk vs Rico..
Na v yapi maoni yako baada ya tetesi ya game kati ya mnyama Gervonta 'Tank' vs Floyd Schofield..
Huko PM sasa..
Me- Mambo Mdada..
Mdada- Safi
Me - Nimeona unatafuta Mtu wa kuishi nae nadhani nipo tayali..
Mdada- Upo wapi na Unajishughulisha na nini?
Me- Nipo Dar najishughulisha na biashara..
Mdada- Biashara gani?
Aise huko PM ni kama Police tu..
Kuna siku nilikuwa nachallenge Mambo ya Mungu dhidi ya vijana flani waeneza Injili mitaani.. Niliwachallenge huku nikiwarecord, usiku wake nikapoteza funguo ya kitasa ktk mazingira ya kutatanisha, nilizurula km mbwa kila mahali nilipokaa
Sirudii tena kuchallenge mambo ya Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.