Wimbo mbovu.. nilitegemea ngoma ingekuwa ndefu kidogo lakini kwa dak4 wamevurunda.. Haiwezekana ngoma yenye rappers zaid ya5 halafu wakatumia dak4 kwa wimbo wenye chorus ndani yake.. Utani wa stamina na mistari yake ya kuunga unga
Mimi ni fundi wa rangi na skimming.. ninaweza kuskim kwa ktumia materials ya aina yeyote ila toka nifike dar sijapata kazi.. ukiweza kupata kazi huko ulipo nicheki tutaelekezana na utakuwa m noma
Hilo ni tatizo linalosababishwa na stress, mtu mwenye stress anaweza kukutukana bila sababu za msingi..
Wengine wanapenda challenge ili kukufanya uwe imara zaidi..
Lakini wengine wanapenda lakini hawana kigezo hata kimoja i.e wanafamilia, wameoa nk hivyo njia iliyobaki ni kukuvuruga ili ukate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.