Recent content by FIRST OF BLOOD

  1. F

    GEITA: Madiwani waliodhibitiwa wakiandamana kuelekea mgodi wa GGM wamtaka RPC awaombe msamaha, RPC awagomea

    Dah! Kweli kabisa,yani wamefanya kosa kuandamana bila kibali,polisi wametimiza wajibu wao,halafu waandamanaji wanataka waombwe msamaha! Cha ajabu sasa polisi hawajawakamata vinara wa huo mgomo,kama yule aliyetaka RPC aombe radhi tena wanampiga mikwara RPC.polisi ijitathimini na kujitenga na...
  2. F

    Ukisikia mwanamke anakuambia thanks for caring ....

    Yawezekana kuna ukweli flani hivi!
  3. F

    Kama akina Sheikh Farid wanaonewa, je Waislamu wengine walitenda makosa mengine nao waachiwe?

    Kwani wale walikamatwa sababu ya ugaidi au kupinga muungano?
  4. F

    Udahili wa vyuo na credt zinazohitajika

    Hapo zimefika cutt of point 4 kwa masomo mawili ? Tambua A=5 B=4 C=3 D=2 E=1 S=0•5 Halafu pia division sio inshu ya kuwa na sifa ya kupata chuo,maana wewe una division 3 hupati chuo, Lkn wakati huo huo kuna mwenye division 4 aliyemaliza 2014.Anapata chuo na sifa ya kusoma degree
  5. F

    Nahitaji mwanamke ambaye tukifahamiana vizuri zaidi awe mke mwakani!

    Mimi ni kijana wa miaka 29. Mwajiriwa. Nahitaji mwanamke wa kuoa. Dini yeyote. Awe na umri kuanzia 20-28 Awe na elimu kuanzia kidato cha 4 kuendelea. Asiye na kazi ya kumuongezea kipato atapewa kipaumbele zaidi. Mwenye kazi ya kumuingizia kipato atapewa chaguo la pili baada ya kukosekana asiye...
  6. F

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Liverpool Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom