Hawa Hawana jipya. Ni muhimu kuwakamata lakini mbona kwenye mambo madogomadogo tu ndio utawaona kwenye maslahi ya Wanene wanaoita bilioni za watz vijisenti hawasikiki. Danganya toto tu hawana la kunishawishi kuwaamini.
Tafuta hoja bana hapa sio nyimbo hizi. Hizi ni FACTS. Mahakamani hakuna haki na uhuru wa maamuzi hivyo wananchi ndio wanaotakiwa kufahamu kinachoendelea wachukue hatua kwani mahakamani ni kuchezeana shere tu, hasa unapodai haki kwa aliyezichukua na kuvuruga utaratibu wa haki Tanzania hasa...
Kiukweli zito kafanya juhudi kubwa sana. Kila mtu ana madhaifu yake lakini Zito is very BRIGHT katika vitu anavyofanya. Sa wanaJF sijui mkoje kwasababu wengi mnapinga tu na kumshambulia bila hata hoja madhubuti. Jamani hebu jaribuni hata kumtia moyo kwa kile ambacho anakifanya sio kumkatisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.