Recent content by Firehouse

  1. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

    You have said it all. Uzi ufungwe sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Napitia maumivu makali sana ya moyo

    Huyo mpenzi wako ni mtu wa hovyo, Ingekuwa ulifanya wazi jamaa angemtafuna bila wewe kujua. Cha msingi tafuta binti unaeweza kumwoa, hiyo kataa ndoa unayosema ni falsafa yako unaigiza tu.
  3. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mzazi kumuuzia mwanae kiwanja?

    Wewe ndo hujielewi. Unataka akupe kiwanja bure halafu aanze kukuomba wewe pesa ya matumizi? Man up
  4. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Brazil yakamilisha SGR yake kwa Miaka 30, nchi masikini ya Tanzania inajitutumua kukamilish Kwa miaka 15

    Kushindwa kuendesha iliyopo jibu lake ni kujenga nyingine? Kipi rahisi kati ya kujenga mpya na kuimarisha uendeshaji wa iliyopo?
  5. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Miaka niliyoishi si haba

    Mshana, you are a true son of your father[emoji1317]
  6. Firehouse

    JamiiForums Tanzania UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote

    Nakazia. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Jabiri kuwa makini na kauli zako za kidini/kibaguzi

    Kumwondoa Mtanzania kwenye reli ni kazi rahisi sana. Hivi suala nyeti la rasilimali na mustakabali wa taifa wapuuzi wachache wanatutoa kwenye mstari kwa vigezo rahisi vya dini? Hizi dini zilizoletwa na wageni? Kama ni kurogwa, mchawi wetu alishafariki zamani sana. Ilitarajiwa ziletwe HOJA...
  8. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Kauli zinazokera katika mizagamuano

    Aiseee[emoji1787]
  9. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Kauli zinazokera katika mizagamuano

    Kwa hali hii DPW wachukue tu bandari[emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Firehouse

    JamiiForums Tanzania Wameshindwa kujitetea suala la DP World sasa wamehamia kwenye udini

    Wajipange upya kwa kweli
Back
Top Bottom