Huyo mpenzi wako ni mtu wa hovyo, Ingekuwa ulifanya wazi jamaa angemtafuna bila wewe kujua.
Cha msingi tafuta binti unaeweza kumwoa, hiyo kataa ndoa unayosema ni falsafa yako unaigiza tu.
Kumwondoa Mtanzania kwenye reli ni kazi rahisi sana. Hivi suala nyeti la rasilimali na mustakabali wa taifa wapuuzi wachache wanatutoa kwenye mstari kwa vigezo rahisi vya dini? Hizi dini zilizoletwa na wageni? Kama ni kurogwa, mchawi wetu alishafariki zamani sana.
Ilitarajiwa ziletwe HOJA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.