Kwanza kabisa nianze kwa kutoa pongezi kwa kazi nzuri aliyoifanya kamanda James, Makamanda wote tuliopo mkoa wa Rukwa kuiga mfano kwa kamanda huyu mwenzetu. KWANZA, KAMANDA JAMES amekuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa kuwaunganisha makamanda wenye rika tofauti, elimu tofauti, uchumi...
wananchi wa jimbo la kwela wamejikuta ktk hali ngumu ya kimaisha baada ya mazao yao husan ni MAHINDI, ULEZI na KARANGA. Na hivyo kiliochao kukosa waombolezaji ikiwa ni baada ya kumpigia cm mbunge wao Ndg Ignus Malocha, alipo wajibu "mnaniambia mimi ili iwejr?" na hii kauli amewajibu wakazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.