Recent content by finyango

  1. F

    Marekani yaruhusu Israel ipige Rafah kama itaihakikishia haitapiga Iran

    Ilitakiwa wapigwe kipindi cha nyuma
  2. F

    Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

    Ukizungumzia Toyota be specific ni Toyota gani,kuna Toyota century unaifahamu?
  3. F

    Gari yako ya kwanza ulinunua ukiwa na umri gani?

    Ngoja Nijichange ninunue Range Cruiser
  4. F

    Gari yako ya kwanza ulinunua ukiwa na umri gani?

    Kumbe member wengi wa JF tunagombea daladala pamoja
  5. F

    Ajali za mabasi ni janga la kitaifa, serikali yapeni umuhimu stahiki maisha ya wasafiri

    We jamaa bhana,Mchawi hapo ni kuboresha barabara tu na kuzipanua.Barabara zetu mabasi yanapita hilo,mbuzi,bajaji,Bodaboda,waendao kwa miguu,mbwa,yani kila aina ya gasia
  6. F

    Daaah, bodaboda bodaboda...inauma sana

    Uko sahihi, Hawa jamaa wana matatizo sana,Mungu awasaidie kwa kweli
  7. F

    Usiku mzuri ninaoukumbuka mwaka 2020 ndani ya Iringa Mjini

    Hivi mnawezaje kuokota mwanamke club na hamjuani kisha kwenda kulala naye?
  8. F

    Hivi ni kweli TPDC wanasambaza LPG? Au kuna makosa katika uandishi?

    Hawawezi kuelewa mkuu,ukiwafafanulia kwanza,waelewe Piped Natural Gas,liquefied Natural gas,compressed natural gas,liquefied petroleum gas ,hivyo ni vitu gani kwanza,Maana inaonesha hadi baadhi ya watoa maamuzi pia hawajui
Back
Top Bottom