Habari wanajamvi,
Nahitaji frame kwa ajili ya nguo za kike bajeti 150,000-200,000 maeneo ya Ubungo Riverside, Mwenge au Makumbusho iwe inatizama barabarani isiwe ndani wala ubavuni tuwasiliane 0716137965.
Habari Wakuu niliibiwa simu katikati ya mwezi huu nikafanya maamuzi ya kubadili line sasa nilikuwa na deni la tigo niwezeshe la 160,000 lilipaswa kulipwa mwezi ujao.
Nauliza, je Tigo watanitafuta au nijisalimishe kuclear jina langu, kuna yeyote aliyewahi kubadili line akiwa na deni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.