AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
hodi,wataalamu,naomba kujuzwa kama kuna madhara yeyote ya kung'oa jino gego la juu,maana nimekuwa nikisikia dhana mbalimbali juu ya watu kupoteza maisha na maradhi mengine ya kichwa ,wanaosema hivyo wanadai kuwa meno ya juu yameshikamana na mishipa mingi ya fahamu.
Hivyo wadau naomba kujuzwa kama kuna madhara yeyote yale ,na kama hamna basi naomba kujuzwa hospitali yenye wabobezi wazuri wa tiba ya meno na kinywa ili nikang'oe hili jino.
asante.
Hivyo wadau naomba kujuzwa kama kuna madhara yeyote yale ,na kama hamna basi naomba kujuzwa hospitali yenye wabobezi wazuri wa tiba ya meno na kinywa ili nikang'oe hili jino.
asante.