Nawashukuruni sana wote mliotoa mawazo mbali mbali ili kusaidiana katika changamoto hii ya ajira, ninafanyia kazi ushauri wenu nawashukuru pia wale walionipigia simu kuonyesha kuwa mnaguswa na matatizo ya watu wengine Mungu awabariki.
Habari za muda huu wana JF.
Nina uzoefu wa mwaka mmoja wa kufanya kazi kwenye microfinance nimekua nikitafuta kazi hapa dar kwa muda sasa bila mafanikio mpaka nafika sehemu nakata tamaa kabisa naamini katika jukwaa hili naweza kupata msaada kwa sababu wapo watu humu JF wenye moyo wa kusaidia...
Habar za muda huu wadau samahani kama kuna anayejua kama matokeo ya usaili wa posts za freelencers tuliofanya tar 15/5 kwenye ofisi za sales DSM, coz walisema after 7 days watakua wametoa majibu nashukuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.