Recent content by fimpo

  1. F

    Mke wangu kaniambia wana ndoa sio lazima waishi pamoja, kahamia Dar lakini sijui anaishi wapi!

    Umerogwa hakika kakangu, huyo si mtu, ulioa jini, mwombe Sana Mungu atakuonesha ukweli. Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  2. F

    Kitu gani kinapelekea mshahara kutoka kwa mafungu awamu hii?

    Mtoa mada una uhakika kuwa wengine wamepata mshahara? Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  3. F

    Msaada: Nilipata ajali mkono wa kulia haufanyi kazi japo nafeel

    Kukata tamaa ni dhambi Mungu yupo atakuponya. Mimi nilishawahi kupata shida kama yako nilipooza mguu wa kushoto sababu nikosewa kuchomwa sindano mchomaji alichoma kwa bahati mbaya kwenye mshipa wa fahamu. Nilizima kabisa mguu kila hatua ya mwanadamu nilianza kujifunza upya kuongea, kukaa...
  4. F

    Naomba kujuzwa njia sahihi na salama ya kutoa Ujauzito (abortion)

    Mungu atamlinda ila kwakuwa anang'ang'ania MAUTI itampata na yeye na hata wewe mdogo wake ni Jesus name Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  5. F

    Naomba kujuzwa njia sahihi na salama ya kutoa Ujauzito (abortion)

    Haina shida alee Mumbai kisha azae hakuna tatizo hapo. Ukiua utauawa huyo mtoto aliye tumboni ni rais ajaye. Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  6. F

    TUCTA: Nyongeza ya Mshahara itaanza kulipwa Mwezi August

    Siku hazigandi Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  7. F

    Zimebaki Siku chache aidha Watumishi wafurahi au wanune

    Tueleweshe Mkuu Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  8. F

    Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

    Basi Mungu wa Wanyonge akusaidie Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  9. F

    Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

    Waulize taratibu za kuprintiwa lazima kuna malipo kidogo kama wafanyavyo vyuo vingine. Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  10. F

    Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

    Mkuu unatuchosha si waulize kwanini hawaptint? Au wanaprint kwa pesa? Shida iliyopo kwako ni ROHO ya unyonge, waulize kwanini wakupe sababu Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  11. F

    Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

    Cheti ni cover tu na unapewa kama hujafeli domo lolote ila transcript ni MATOKEO yako ya chuo na hiyo ni muhimu zaidi na inazuiliwa kama una deni chuoni. Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  12. F

    Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

    Una uhakika na anayosema mwanafunzi wako? Ysmkini anakudanganya nenda mwenyewe kajiridhishe ndo ujue cha kufanya. Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  13. F

    Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

    Mkuu wa chuo anajua? Kwanini kama hana tatizo wamzuilie? Be specific shida ni nini ili tukusaidie. Haileti sense mwanafunzi hana tatizo halafu anyimwe transcript. Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  14. F

    Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

    Kuna shida mahali na pa kuanzia ni kwa Mkuu wa chuo Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  15. F

    Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

    Transcript ni matokeo yote ya chuo kwa mihula na miaka yako. Na ni haki yako sio ombi, kama inazuiliwa basi clearance haijakaa sawa yaweza kuwa unadaiwa bado lakini mdaiwa anatoa ubishi kuwa hadaiwi, hapo huwezi kupewa. Fanya clearance! Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom