Nadhani kwanza si vizuri kwa wale wazungumziao vibaya,huyo ni marehemu hata uongee vp mimi na wewe hatujui kilichotukia.Mungu pekee anajua,hivyo basi hukumu zenu ninyi nyote hazisaidii.
Ila ombea isikukute,usiombe kabisa kwakuwa ni maumivu yasioelezeka.
.....Nasi sote tutarejea.
Daima...
Sikulaumu kwa maamuzi uliyoyafanya,mapenzi na ndoa nyingi zimekuwa ni vigelegele na sherehe za mamilioni zinazoishia na makwaruzano na usaliti mkubwa .
Baadhi ya uongo wa sisi wadada unafanya wengine wenye uaminifu kuingia kwenye kundi moja la hao wadada waongo wa mujini.
Pole sana kaka,kama...
Naamini wanaume wanapenda mke anayejiheshimu ktk hali yote,sasa wewe mtu humfahamu umejilainisha kulala nae mtu hata humjui,je kama ni jini?
Ndo haya mambo baadae unalalamika maisha hayaendi,siolewi kumbe kuna sehemu uliloga mwenyewe.
Huyo kaka hana muda nawe wala kuwaza kuwa utakuwa...
Mi naona dada ana haki ya kukukimbia kwakuwa huwezi jua kwanini alikataa,na pia uliweza kutumia kauli nzuri ama kumuacha angeweza kufanya kwa muda wake.
Ila ukimpiga kofi mara ya kwanza hilo ni kosa litakaloendelea mpaka mkiwa kwenye ndoa,labda utafute mstakabali mwingine ila akikubali kurudiana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.