Recent content by FIM

  1. F

    Profesa Mkilaha ajipiga risasi bahati mbaya na kufa wakati akisafisha bastola yake

    Nadhani kwanza si vizuri kwa wale wazungumziao vibaya,huyo ni marehemu hata uongee vp mimi na wewe hatujui kilichotukia.Mungu pekee anajua,hivyo basi hukumu zenu ninyi nyote hazisaidii. Ila ombea isikukute,usiombe kabisa kwakuwa ni maumivu yasioelezeka. .....Nasi sote tutarejea. Daima...
  2. F

    Sitathubutu kuoa wala kupata mtoto

    Sikulaumu kwa maamuzi uliyoyafanya,mapenzi na ndoa nyingi zimekuwa ni vigelegele na sherehe za mamilioni zinazoishia na makwaruzano na usaliti mkubwa . Baadhi ya uongo wa sisi wadada unafanya wengine wenye uaminifu kuingia kwenye kundi moja la hao wadada waongo wa mujini. Pole sana kaka,kama...
  3. F

    Ni kama story ila ndo ukweli

    Naamini wanaume wanapenda mke anayejiheshimu ktk hali yote,sasa wewe mtu humfahamu umejilainisha kulala nae mtu hata humjui,je kama ni jini? Ndo haya mambo baadae unalalamika maisha hayaendi,siolewi kumbe kuna sehemu uliloga mwenyewe. Huyo kaka hana muda nawe wala kuwaza kuwa utakuwa...
  4. F

    Mpenzi wangu kanitumbua

    Mi naona dada ana haki ya kukukimbia kwakuwa huwezi jua kwanini alikataa,na pia uliweza kutumia kauli nzuri ama kumuacha angeweza kufanya kwa muda wake. Ila ukimpiga kofi mara ya kwanza hilo ni kosa litakaloendelea mpaka mkiwa kwenye ndoa,labda utafute mstakabali mwingine ila akikubali kurudiana...
Back
Top Bottom