itakubidi ujipange kumwambia ukweli na i hope hujampotezea muda wake mwingi na usimwache kwasababu unahisi unayemuona/mwanamke mwingine ndo anafaa kuwa mke
Subiri kidooogo chamoto utakiona
Ujue mwanamke akikupenda anapenda kweli na akikuchoka anakuchoka kweli so trust me bora umwambie ukweli mapema kuliko kuharibu matarajio yake
Shidaa yenu inakuja mkifanikiwaaaa daaah mnaona mlieanza naye si kitu hapo lazima maisha yakunyooshe
hahahaha we kiboko
Unajua pale unapojitoa kwa mtu kwa kila kitu kiasi hata akipata shida inakuwa kama yako then unaachwa kirahisi tu lazima maneno mabaya yakutoke kwasababu hajui amekuumiza kiasi gani. Mimi huwa nasema kitu usichopenda kutendewa usimmtendee mwenzio
Wengibwettu tumesema juu ya binti kuwa anaogopa michepuko yake itajua lakini msisahau kuwa hata familia pia inachangia coz sio wote wana uzungu ambao eti utapita na grlfrnd/byfrnd wakakuchekea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.