Ndugu zangu,
Naamini mnaendelea vema.
SAMAHANI KAMA NITAWAKWAZA: Naomba msaada wenu kwa anayejua kuhusu SIFA NA TABIA za wanawake wa KIIRAQ au WAMBULU na majirani zao WARANGI.
Na pia naomba ushuari wa namna bora ya kuishi nao ikitokea mtu anao mwanamke wa KIIRAQ au WAMBULU na majirani zao...
Bila bila until now sijui kuwa wote wadada wa humu wameolewa au ndio wamekuwa busy na mihangaiko ya maisha.
Jamani mke wangu mtarajiwa upo wapi? ukuje bana popote ulipo ikufikie hii taarifa kwa sababu tunajichelewesha na pia tunachelewesha watoto kuanza shule. Come this way my wife please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.