Sioni ubaya kwa Zanzibar kuwa taifa huru. Ubaya nauona kwa wananchi wa pande zote mbili wanapoamua kutumia hilo kama njia ya kukashifiana, kutukanana imefikia hata kuuana. Hivyo siyo vitendo vya kuvishabikia kabisa, tunaweza kuamua vyovyote kuhusu muungano bila kugombana na hata ikitokea...
Nimeamua Rasmi kuketi kwenye Jamvi hili la JF, naamini ni sehemu muhimu ya kutoa mawazo yangu na kuwafikia walengwa moja kwa moja katika lengo la kurekebisha,kukosoa na hata kupongeza ikibidi. Naamini katika hayo na pia naamini nitatumia nafasi hii kuwakilisha mawazo yangu kadili nitakavyoona...
Siasa mbaya za chuki,kupakana matope ni siasa ambazo inabidi tusali ili kama ni pepo litupitie mbali. Maana nguvu mnazotumia kumshambulia Zitto nawaza mtakapofanikiwa atafata nani???
Kosa lake ni kukiuka Sheria nambari nne (4) ya mabadiliko ya nane (8) katika Katiba ya Nchi ya mwaka 1992 ibara ya 147(3),
Tuache Siasa kwenye mambo ya usalama wa nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.