Du ubarikiew kunikumbusha mbali,igawa nimechelewa sana kuchangia hoja hii nyeti kwa wa tabora boys. Emanule Ndomba nilikutana nae idm mzumbe 1994,Nsato ni OC CID kondoa.hamisi makala ni hakimu dodoma,Dendula mpwapwa,Mwl shendu head master dodoma bush,kitemangu(mlami) alistaafu,yule kota...