Recent content by fijo

  1. F

    Mrejesho wa kupata Mwenza-Mume

    Nawasalimu wana JF wote, Rejea thread yangu ya kutafuta mume Ninapenda kumshukuru Mungu Baba, Muumba wa vyote kwa kuweza kunikutanisha na mwenza wa maisha yangu ya hapa duniani,kwa hatua tuliyofikia sina budi kusema kuwa nimempata wangu. Maana kule mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa,wote...
  2. F

    Sababu za wanawake kuendelea kuchezewa

    Pole sana Stardust, Hiyo sababu uliyoainisha inaweza kutokea pande zote,hata mwanamme anaweza kukwambia hana uhusiano but sio kweli anatafuta backup awe na wapenzi zaidi ya mmoja,ila kwa mwanamme kutongoza ni moja ya tabia,kwahiyo anaweza kuwa na wengi ila akapenda mmoja tu. Sababu nyingine...
  3. F

    journey with a purpose!

    Its a very challenging and wide thinking question. Surely, we are all on journey and one day will be accountable for our deeds. Whom am I living for in this world? Why do I exist? I can rely my reasoning based on my faith. John 3:16 As for science I don't have any strong points...
  4. F

    Nilikosea kuolewa na huyu, nimekutana na perfect choice kazini

    Duuh unachokifanya sio sahihi kabisa dada. Mwanamke huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe. Hizo ni tamaa za kimwili tu ambazo huzaa mauti. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Mbona unataka kuvunja ndoa yako dada?
  5. F

    Ninatafuta mume

    Hello, Sijapata PM yako
  6. F

    Ninatafuta mume

    Ndaga
  7. F

    Ninatafuta mume

    Ndaga
  8. F

    Ninatafuta mume

    Amina.Ninaamini Mungu atanipa
  9. F

    Ninatafuta mume

    Asante kwa ushauri
  10. F

    Ninatafuta mume

    Amina
  11. F

    Ninatafuta mume

    Dar es salaam
  12. F

    Ninatafuta mume

    Habari wana JF, Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36. Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu. Sifa zake Umri: 37-45 Dini: Mkristo Elimu: kidato cha sita na kuendelea Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri. Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi. Ninatanguliza shukrani zangu...
  13. F

    Kauli hii imeniumiza sana kutoka kwa mpenzi wangu

    Inaumiza moyo kumpenda mtu bila kujua hana upendo wa dhati kwako,kiukweli huyo kaka yuko nawe kimaslahi zaidi,ukijashituka atakuwa na mwanamke mwingine na atakuambia you are not my type. Ni vizuri ukafanya maamuzi mapema before its too late.
  14. F

    Nini dawa ya mwanamke anayekutukana mara kwa mara?

    Pole. Inabidi ukae nae na kumueleza kuwa hupendi hiyo tabia,nafikiri atakuwa na mengine moyoni mwake pia muelezane na kuombana msamaha na kuanza upya
Back
Top Bottom