Nawasalimu wana JF wote,
Rejea thread yangu ya kutafuta mume
Ninapenda kumshukuru Mungu Baba, Muumba wa vyote kwa kuweza kunikutanisha na mwenza wa maisha yangu ya hapa duniani,kwa hatua tuliyofikia sina budi kusema kuwa nimempata wangu.
Maana kule mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa,wote...