Nilikosea kuolewa na huyu, nimekutana na perfect choice kazini

Nimeolewa na mwanaume mwenye sifa zote ambazo kila mwanamke angependa kuwa naye maishani. Tumebahatika kupata mtoto mmoja ndani ya ndoa yetu yenye umri wa miaka 5. Na kwa muda wote huo tumeishi kwa kuheshimiana na kupendana vilivyo.

Mm na mume wangu sote ni wafanyakazi lkn ktk sekta tofauti. Sasa basi, mwaka jana kuna kaka mmoja alihamishiwa kuja kwenye kitengo na kituo ninachofanyia kazi mm. .

Nilipomuona kwa mara ya kwanza tu ( first impression ama first glance) moyo wangu ulinienda mbio. Nikajikaza kike na kujitahidi kumpotezea. Kadri siku zilivyoenda na mazoea yalivyoongezeka nikajikuta nafall in love automatically. Sijui kama jamaa aligundua ama la. Lakini alipoonyesha nia sikuwa na namna ya kukataa.

Mapenzi yakaanza mwanzoni mwa mwaka huu, huku nikichukua tahadhari kubwa mume wangu asinikamate. Tulikubaliana kuwasiliana mwisho ni saa 11 jioni na iwe siku za kazi tu ili kujilinda na kukamatwa.

Siku akitaka kuliamsha dude na mm huwa natoka asubuhi kwangu kama kawaida kama vile naenda kazini kumbe naenda getoni kwa jamaa. Huku kila mtu akiwa ametoa uzuru wake binafai kwa bosi ya kutoenda kazini. Jamaa ameoa lkn kaiacha familia yake alikokuwa mwanzo.

Lkn hivi sasa uzalendo unanishinda, nashindwa kukaa bila kuwasiliana na huyu kaka kutwa nzima hasa wikendi. Hivyo huwa natafuta mbinu hata ya kwenda kwenye maduka jirani ama kujifungia chumbani ama kujificha jikoni ama chooni ili tu niongee na huyu kaka.

Kwa hakika najuta kwann sikukutana na huyu kaka mapema. Ningeolewa naye hata kwa ndoa ya mkeka. Maana sasa mume wangu hata hamu ya kumpa penzi sina. Kama nikimpa basi navuta taswira ya yule kaka wa kazini.

Jamani nifanye nn mm? Mume wa ndoto yangu bila shaka ni huyu kaka.
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe
 
Kesho nenda kanisani pata muda na Mungu wako...muulize kwanini wewe hapo umemsaliti mumeo ? Na niliapa mbele yako Mungu kwamba nitakua naye huyu na sitashuhulika na wengine na ulichounganisha wewe binadamu mwingine asitenganishe..imekuwaje mimi nimeenda na kimyume na kila kiapo nlichoapa kwako??
Halafu sikiliza majibu
Ajichongee tena?
 
Nimeolewa na mwanaume mwenye sifa zote ambazo kila mwanamke angependa kuwa naye maishani. Tumebahatika kupata mtoto mmoja ndani ya ndoa yetu yenye umri wa miaka 5. Na kwa muda wote huo tumeishi kwa kuheshimiana na kupendana vilivyo.

Mm na mume wangu sote ni wafanyakazi lkn ktk sekta tofauti. Sasa basi, mwaka jana kuna kaka mmoja alihamishiwa kuja kwenye kitengo na kituo ninachofanyia kazi mm. .

Nilipomuona kwa mara ya kwanza tu ( first impression ama first glance) moyo wangu ulinienda mbio. Nikajikaza kike na kujitahidi kumpotezea. Kadri siku zilivyoenda na mazoea yalivyoongezeka nikajikuta nafall in love automatically. Sijui kama jamaa aligundua ama la. Lakini alipoonyesha nia sikuwa na namna ya kukataa.

Mapenzi yakaanza mwanzoni mwa mwaka huu, huku nikichukua tahadhari kubwa mume wangu asinikamate. Tulikubaliana kuwasiliana mwisho ni saa 11 jioni na iwe siku za kazi tu ili kujilinda na kukamatwa.

Siku akitaka kuliamsha dude na mm huwa natoka asubuhi kwangu kama kawaida kama vile naenda kazini kumbe naenda getoni kwa jamaa. Huku kila mtu akiwa ametoa uzuru wake binafai kwa bosi ya kutoenda kazini. Jamaa ameoa lkn kaiacha familia yake alikokuwa mwanzo.

Lkn hivi sasa uzalendo unanishinda, nashindwa kukaa bila kuwasiliana na huyu kaka kutwa nzima hasa wikendi. Hivyo huwa natafuta mbinu hata ya kwenda kwenye maduka jirani ama kujifungia chumbani ama kujificha jikoni ama chooni ili tu niongee na huyu kaka.

Kwa hakika najuta kwann sikukutana na huyu kaka mapema. Ningeolewa naye hata kwa ndoa ya mkeka. Maana sasa mume wangu hata hamu ya kumpa penzi sina. Kama nikimpa basi navuta taswira ya yule kaka wa kazini.

Jamani nifanye nn mm? Mume wa ndoto yangu bila shaka ni huyu kaka.
Mwambie akuzalishe ndiyo utamkumbuka vizuri, pia usijione mjanja na mumeo fala huko baadaye usije ukaja na Uzi wa kumponda huyo kichuna wako
 
Duuh unachokifanya sio sahihi kabisa dada.

Mwanamke huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Hizo ni tamaa za kimwili tu ambazo huzaa mauti.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Mbona unataka kuvunja ndoa yako dada?
 
Nimeolewa na mwanaume mwenye sifa zote ambazo kila mwanamke angependa kuwa naye maishani. Tumebahatika kupata mtoto mmoja ndani ya ndoa yetu yenye umri wa miaka 5. Na kwa muda wote huo tumeishi kwa kuheshimiana na kupendana vilivyo.

Mm na mume wangu sote ni wafanyakazi lkn ktk sekta tofauti. Sasa basi, mwaka jana kuna kaka mmoja alihamishiwa kuja kwenye kitengo na kituo ninachofanyia kazi mm. .

Nilipomuona kwa mara ya kwanza tu ( first impression ama first glance) moyo wangu ulinienda mbio. Nikajikaza kike na kujitahidi kumpotezea. Kadri siku zilivyoenda na mazoea yalivyoongezeka nikajikuta nafall in love automatically. Sijui kama jamaa aligundua ama la. Lakini alipoonyesha nia sikuwa na namna ya kukataa.

Mapenzi yakaanza mwanzoni mwa mwaka huu, huku nikichukua tahadhari kubwa mume wangu asinikamate. Tulikubaliana kuwasiliana mwisho ni saa 11 jioni na iwe siku za kazi tu ili kujilinda na kukamatwa.

Siku akitaka kuliamsha dude na mm huwa natoka asubuhi kwangu kama kawaida kama vile naenda kazini kumbe naenda getoni kwa jamaa. Huku kila mtu akiwa ametoa uzuru wake binafai kwa bosi ya kutoenda kazini. Jamaa ameoa lkn kaiacha familia yake alikokuwa mwanzo.

Lkn hivi sasa uzalendo unanishinda, nashindwa kukaa bila kuwasiliana na huyu kaka kutwa nzima hasa wikendi. Hivyo huwa natafuta mbinu hata ya kwenda kwenye maduka jirani ama kujifungia chumbani ama kujificha jikoni ama chooni ili tu niongee na huyu kaka.

Kwa hakika najuta kwann sikukutana na huyu kaka mapema. Ningeolewa naye hata kwa ndoa ya mkeka. Maana sasa mume wangu hata hamu ya kumpa penzi sina. Kama nikimpa basi navuta taswira ya yule kaka wa kazini.

Jamani nifanye nn mm? Mume wa ndoto yangu bila shaka ni huyu kaka.
Huo ni ushetani
 
Nimeolewa na mwanaume mwenye sifa zote ambazo kila mwanamke angependa kuwa naye maishani. Tumebahatika kupata mtoto mmoja ndani ya ndoa yetu yenye umri wa miaka 5. Na kwa muda wote huo tumeishi kwa kuheshimiana na kupendana vilivyo.

Mm na mume wangu sote ni wafanyakazi lkn ktk sekta tofauti. Sasa basi, mwaka jana kuna kaka mmoja alihamishiwa kuja kwenye kitengo na kituo ninachofanyia kazi mm. .

Nilipomuona kwa mara ya kwanza tu ( first impression ama first glance) moyo wangu ulinienda mbio. Nikajikaza kike na kujitahidi kumpotezea. Kadri siku zilivyoenda na mazoea yalivyoongezeka nikajikuta nafall in love automatically. Sijui kama jamaa aligundua ama la. Lakini alipoonyesha nia sikuwa na namna ya kukataa.

Mapenzi yakaanza mwanzoni mwa mwaka huu, huku nikichukua tahadhari kubwa mume wangu asinikamate. Tulikubaliana kuwasiliana mwisho ni saa 11 jioni na iwe siku za kazi tu ili kujilinda na kukamatwa.

Siku akitaka kuliamsha dude na mm huwa natoka asubuhi kwangu kama kawaida kama vile naenda kazini kumbe naenda getoni kwa jamaa. Huku kila mtu akiwa ametoa uzuru wake binafai kwa bosi ya kutoenda kazini. Jamaa ameoa lkn kaiacha familia yake alikokuwa mwanzo.

Lkn hivi sasa uzalendo unanishinda, nashindwa kukaa bila kuwasiliana na huyu kaka kutwa nzima hasa wikendi. Hivyo huwa natafuta mbinu hata ya kwenda kwenye maduka jirani ama kujifungia chumbani ama kujificha jikoni ama chooni ili tu niongee na huyu kaka.

Kwa hakika najuta kwann sikukutana na huyu kaka mapema. Ningeolewa naye hata kwa ndoa ya mkeka. Maana sasa mume wangu hata hamu ya kumpa penzi sina. Kama nikimpa basi navuta taswira ya yule kaka wa kazini.

Jamani nifanye nn mm? Mume wa ndoto yangu bila shaka ni huyu kaka.
Eti nilikosea,,umekosea kutembea na hiyo jamaaa
 
Baeleze mkuu
Wanaume wengi hili linawaumiza sababu wao ndio zao, ktk hili washauri wachache wengi watatukana sio kukupa mawazo. Hawawezi kuwa wakweli ktk kuongea wanakataa makosa yao, na wanajitetea wao ni dhaifu siyo malaya?

Labda unaweza usiwe sahihi na hizo hisia zako labda zinakupeleka kwa kitu ambacho unakipenda ambacho kwa mumeo hupati lazima utaona angekuwa huyu, nimependa utayali na ukweli wa kitu ambacho umeeka wazi, ni rahisi kusahishika, wengi si wakweli wanakataa makosa yao, ubaki hivyo hivyo wakijiona wako sahihi lakini wao ndio waovu wakubwa.

Yaani ni vizuri kujiuliza ingekuwa mm ningefanyaje, jiweke ww ktk hii nafasi jibu lazima utapata
 
Hakika wewe ndoa itakushinda, hujui maana ya hilo, sababu ni kule kushinda naye, ukaribu ndo umekupumbaza . mkewe au mmeo akijua !!!! Nakushauri acha utajajutia!!!!
 
Ahsante sana Mkuu.Umeniwahi. Jinsia ya huyu mwenzetu kwa kweli inatatanisha sana. Siku nyingine aanzishe mada humu kama KE na siku nyingine kama ME. Sijui tatizo ni lipi mpaka huyu awe hivi. Nilishawahi kumuuliza miezi ya nyuma lakini hakujibu.

Hii ni stori bila shaka kama hii hapa chini wakati huo ukiwa jinsia ya kiume...

Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...
 
th



th
 
Kumbe hyo ndo mikakati!! Ya wanawake wa leo...sa si mkatae kuolewaa endapo kama mnajua wanaume hawajaisha pumbav
 
Back
Top Bottom