Nauliza mzee wa mia 900 itapendeza yuko wapi au kashapewa pesa zako karudi Urusi maana kuna mjengo unauzwa. Kama kuna mtu anajua alipo amshtue maana huku kwa 900 itapeza ni hayo tu tujuzane.
Dah nilikuwa bado nipo nitandan gafla nikaona nyumba inatetemeka nilishtuka sana ....nilipotoka nje nikawakuta watu wanasema ilo ni tetemeko la ardhi,....limekaa kama dkka3 hivi ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.