Recent content by Fifteen

  1. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Hongera Rais Samia kwa kutupa makamu anayekuwakilisha vema, kwa sasa hatukudai

    Ni kweli hatumdai sasa aachie nchi utumishi ni wito na kwetu amemaliza alicho itiwa ajiuzuru basi waingie wengine
  2. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Izo ni hesabu za kwenye karatasi sio za uhalisia umeaasume the worst scenario ya gas na best scenario ya induction gas mtungi mdogo familia ya watu 4 unaweza pikia mwezi kwenye induction angalia unatumia unit ngap Kwa siku? Times 30 kisha angalia price Kwa mtu alietumia vyote anaweza kuleta...
  3. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Aende degree ipi kati ya hizi: Civil, Mechanical, Electrical, Mineral au Data Science? Matokeo yake ni GPA 1.6 (PCM)

    Hii course nlikua naikubari sanaa nkaenda electronics engineering udsm nkijua itakua hivi coz n electronics pure sio electronics and telecommunication kama dit au electronics and electrical kama must lakini nmekuta udsm nako imebase kwenye telecom zaidi najitahidi kutafuta chance nihamie kweny...
  4. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Aende degree ipi kati ya hizi: Civil, Mechanical, Electrical, Mineral au Data Science? Matokeo yake ni GPA 1.6 (PCM)

    Game Iko rigged now engineering unamalza unakutana na salary za 400k
  5. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Uzalendo wa Mwigulu ni tunu kwa taifa

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣rais wa mawe
  6. Fifteen

    JamiiForums Tanzania CHADEMA moja ya mafanikio yao, wamefanikiwa kuichonganisha Serikali na wananchi wake. Chuki ipo juu sana

    Me nazani aneongea kimafumbo hakuna kitu kuhusu chadema n kuhusu failure za ccm
  7. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Ufanyike mpango ili tuwe tunajisajili na mitandao yetu kwa kutumia IDs za NIDA.

    Nyapara unaona kama bado hujatawaliwa vizuri ondoka jamiiforum ukatumie majina yako magazetini
  8. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Tutafakari hili kwa akili kubwa kidogo!

    Ivi kungekua na tume huru ya uchaguzi, Uhuru wa habari na uwajibikaji wa viongozi yangetokea ya October 29
  9. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Ahadi za Ajira kwa Watoto: Mtego au Fursa?

    Sema hoja nyingine zinafanya Tu jaji Sana uwezo wa viongozi wetu hii hoja ina exposé Kua tume inauwezo mkubwa kuliko usalama WA taifa kwa kushindwa kung'amua ilo
  10. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Mental health umepata nini baada ya kufa kwake?
  11. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    😂😂Daah logic zako zako zakijinga Sana yeye alikua rais na alituonyesha na alifanya kuliko Marais wengine mbona mrithi wake hawasemi n mzalendo?
  12. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Kuna kijijin kimoja kipo chunya walimfukuza Mzee kijijini kisa mchawi akaenda kuishi nyuma ya mlima na familia yake wakaanzisha mshamba polini kweli wakaja watu WA madini wanachukua maeneo yote kuzunguka mlima baadae ya uthaminishaji Mzee na familia yake amekula karbia billion mbili Ivo 😂😂😂😂😂😂😂
  13. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Mkuu wewe kwa maoni yako ulitaka afanyaje? Afanye kama lichofanya polepole ? Unapomuona nyoka unasubr ukae position nzuri ndio umpige kichwa huezi mparamia Tu akati utaishia kumpga mkia. magu strategic yake ililipa alisubiri awe rais ndio afanye kudeal nao kisawa Sawa wewe unaona kakosea...
Back
Top Bottom