Recent content by Fifteen

  1. Fifteen

    Ahadi za Ajira kwa Watoto: Mtego au Fursa?

    Sema hoja nyingine zinafanya Tu jaji Sana uwezo wa viongozi wetu hii hoja ina exposé Kua tume inauwezo mkubwa kuliko usalama WA taifa kwa kushindwa kung'amua ilo
  2. Fifteen

    Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Mental health umepata nini baada ya kufa kwake?
  3. Fifteen

    Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    😂😂Daah logic zako zako zakijinga Sana yeye alikua rais na alituonyesha na alifanya kuliko Marais wengine mbona mrithi wake hawasemi n mzalendo?
  4. Fifteen

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Kuna kijijin kimoja kipo chunya walimfukuza Mzee kijijini kisa mchawi akaenda kuishi nyuma ya mlima na familia yake wakaanzisha mshamba polini kweli wakaja watu WA madini wanachukua maeneo yote kuzunguka mlima baadae ya uthaminishaji Mzee na familia yake amekula karbia billion mbili Ivo 😂😂😂😂😂😂😂
  5. Fifteen

    Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Mkuu wewe kwa maoni yako ulitaka afanyaje? Afanye kama lichofanya polepole ? Unapomuona nyoka unasubr ukae position nzuri ndio umpige kichwa huezi mparamia Tu akati utaishia kumpga mkia. magu strategic yake ililipa alisubiri awe rais ndio afanye kudeal nao kisawa Sawa wewe unaona kakosea...
  6. Fifteen

    Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Hapana mjinga anaeleweshwa Tu na ww unahitaji ilo
  7. Fifteen

    Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Chuki yako havihusiani na nchi ata kidogo kwa asilimia 100 kama n nchi taja vitu alivyo haribu
  8. Fifteen

    Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Hukatazwi Kua na maoni ila maoni ya kusema ni the worst NI kama kusema 1+1 NI 9 na iwe ivo NI maoni yakijinga
  9. Fifteen

    Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Ilo Jambo alikua anajua mchezo mzima ndio maana alipokua kwenye power alikuja kulifanyia kazi Kuna video Moja alikua anapiga story Tu akiwa waziri alikua anaongea kabisa anaonyesha Kuna vitu anatamani kufanya ila Hana Io power na alikuja vifanya alipo pata power ulitaka afanye nini zaidi?
  10. Fifteen

    NASA wamerudi tena Mwezini, na tayari picha za awali zimeanza kuachiwa — Je, Wale wabishi wa ‘Moon Hoax’ Bado Wataendelea Kubisha?

    Walipofika moon orbit chombo kiligawanyika chombo kilicho enda kweny mwezi NI full independent min rocket kwaajir ya Ku operate kwny moon lakini waliland kwa free fall hivyo walihitaji fuel ya kutoka kwny moon mpaka kweny orbit ambapo Kuna chombo kingine kinawasubr kumbuka moon iko na low...
  11. Fifteen

    Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Kauli ya kusema watajwe waone aibu NI sababu tosha kumkumbuka
Back
Top Bottom