Nadhani mkuu hukufatilia vizuri, Innocent Mungi ameeleza leo kupitia vyombo vya habari kuwa baadhi wameonesha nia ya kulipa leo j3 wengine wakijitetea kuwa zile barua zilizotumwa wiki moja kabla hazijawafikia na hiyo yawezekana ikisababishwa na anwani walizotumia kutokuwa active.
Amesema...
Katika kikao cha kamati ya ccm wilaya, watia nia hao watatu walitakiwa kusimamishwa kutoudhuria mikutano ingawa wamebembeleza na kuruhusiwa had I jumanne asubuhi ili wawasilishe fedha za gharama ya mikutano mil2
Miongoni mwao ni mwl George ambaye amejitetea kuwa ameshapunguza lak3 huku...
Baada ya wajumbe CCM Kata Kashai manispaa ya Bukoba kumkataa Anatory Aman kuwa ni mwizi na anawavuruga kwa kuwapeleka mahakamani.
Hata hivyo wamesema kwanini anakwenda kwenye kata ambayo ina upweke kutokana na diwani wao kufukuzwa kwa fitina zake, hivyo hawawezi kukaa kusikiliza mwizi ambaye...
Nduguyangu hizo mamlaka zingeanza na Free media ungeeleweka lkn leo kuirukia Kasibante ni ufahamu mdogo, Vission unayosema ndiyo imechachafya Misenyi nakumfanya Valerian ateuliwe.
Walioanzisha taasisi zingine Bk mbona hawajalazimishwa kufuata matakwa ya wananchi Bali wanaangali faida zao na...
Ni baada ya kusema kuwa serikali ya CCM ina sekta4 zilizojaa rushwa na nchi yote inanuka rushwa hivyo anawaomba wana Bukoba wamuunge mkono popote pale ili aangamize hali hiyo nchini.
Wakati akitamka maneno ilikuwa katika mkutano wa kwanza wa wagombea 8 kuomba ridhaa ya wana CCM kwa wanaotaka...
Msikiapo jambo ulizeni mwambiwe, mdau hapa umeleta habari ya kijiwe cha kahawa, Aman jana alibanwa na CCM aeleze kwanini alileta chokochoko na akaulizwa kwanini asiombe msamaha kupitia jukwaa au anachagua njia gani ya kuomba msamaha kwa huyo Kaga na wananchi? Akasema anajifikiria, ilikuwa...
Kiukweli polisi wakati mwingine wanajichanganya, hapo nafikili walitakiwa kuomba ushirikiano kwa waandishi hao ili wawasaidie kupata ukweli wa mambo kuliko kuwatuhumu kwasababu wakati huu waandishi wanaijua teknolojia kuliko polisi na wana mitandao ya haraka kupata taarifa hizo, ila tunashukuru...
Hii nimeiona kwenye mtandao mmoja wa kijamii KANDAYAZIWA BLOG kuwa inasemekana amehamishiwa Dar es salaam lakini lakini ukimnukuu mmoja wa wafanyakazi wa manispaa hiyo ambaye hakutajwa jina kuwa wanafanya kazi kwa hofu sasa.
Ni baada ya kuitwa na mkuu wa mkoa wa Kagera alipoitisha kikao na viongozi mbalimbali mkoani Kagera wakiwamo viongozi wa kidini maaskofu na wachungaji.
Katika kikao hicho Kanali Massawe amewaambia madiwani wakubali kuingia kwenye kikao cha Bajeti ili waipitishe na wakati huo taarifa za CAG...
Huyo kama ni mwandishi nadhani hajafikia kiwango cha kuitwa mwandishi habari,
Alichokiandika hakijatuweka wazi nini hasa tatizo la michango ya Kagasheki na mgogoro wake na Aman, ebu acheni kutupotezea muda na uchonganishi wenu, wachache wanafanya wahaya tunaoishi nje ya Kagera nasi tuonekane...
Afadhali umeleta hili hapa, nimesikia huko Kagera wanalaumu eti wamewasema kwy vyombo vya habari, wakati haya yako nchi nzima, na kikubwa hapa wafanyabiashara wanakatwa asilimia 18, japo katika utetezi wao wanakatwa wenye VAT na waliochini ya mil10 kuna utaratibu mwingine unatumika, sisi...
Wanaowapa hawawapi mafunzo ya kuzitumia, wanafikili kuwa nayo tu tayari ni ulinzi tosha hawajui kuwa kwanza ni kesi kushika silaha bila kujua matumizi yake na wapi unatakiwa kuwa nayo, wewe umesema hayo lakini ushagai kuona wengine wanazining'iniza kama funguo za magari kwenye suruali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.