wanavyuo ni sehemu hinayo wakilisha watanzania kwa karibu zaidi..walichokifanya sio wao tu atamwananchi wakawaida hapa mtaani anazomea hivyo hivyo its just hawajapata courege yakufanya hivyo hadharani..kitaa hilo swala limepokelewa na mikono miwili every body wish he/her could be there...
dr slaa atakua rahisi 2015 wote hao niwatuwadogo sana compared to him..na ni mwaka 2015 CCM watakapo anguka sio huko 2020 ambako wanasema wanaccm..vijana 2015 niwakati wetu wakufanya mabadiliko tukowengi zaidi yawale wazee wetu wanaodanganyika kirahisi na CCM it does not cost u a thing kupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.